Recent content by full power

  1. full power

    Nitapata wapi mashine ya kuosha vyombo(dishwasher)

    Hata mm pia naitafuta mkuu, ukiipata nitag
  2. full power

    Rais wa Ufilipimo, Durtete pamoja na biti yake yote kumbe ni shoga, atamani kuolewa.

    ....funguka mzee Baba, mbona kama unambwela mbwela vilee. Mtaje jina tu , huyo Rais wa Ufilipino una mfananisha na kiongozi gani huku kwetu African *Tanzania*
  3. full power

    Huyu mwanamuziki nmeshindwa kumwelewa. Sijui wenzangu wenye kipaji

    Akili zako na za huyo muimbaji zitakuwazinafanana sio Bureee
  4. full power

    Wadada mnaotaka kuolewa msiache vitu mkienda kwa wapenzi wenu

    Kwangu mm ni tofauti kidogo, kwanza namfosi aache vitu vyake hasa hasa Pichu ili Siku nikimmiss nipigie hata nyeto...CHAPUTA Oyeeeee[emoji111]
  5. full power

    Kero: TCRA mlisema local channel ni bure mbona zinalipiwa?

    ....Sio Buree hapa Kuna Namna tu. Hawa TCRA wanajuana na makampuni ya Ving'amuzi naBila Shaka itakuwa kuna fungu la nje ya BOX itakuwa baadhi yao wanamegewa kuzuia hilo tamko lisifanye kazi .
  6. full power

    Kero: TCRA mlisema local channel ni bure mbona zinalipiwa?

    Wanataka kutuaminisha kuwa TCRA wanamgao wao wa nje ya BOX kwenye hizo LOCAL CHANNEL . Kama sivyo hivyo kwanini wanashindwa kisimamia matamko yao Ipasavyo? .......Hapa Kuna Namna tu. CC:- full power
  7. full power

    Hivi north Korea wana jitengezea fedha zao wenyewe?

    Sibiri wanakuja wajuzi wa hizi habari. mimi mgeni kwenye hill[emoji385][emoji385]
  8. full power

    Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli

    Mara paahp.....Babu Seya Amechaguliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA MJINI au NGARA. SAVE MY COMMENTS
  9. full power

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Nissan Fuga 2017. hatari sana hiyo gari.
  10. full power

    Tanga kwetu raha

    Street 13 Bosnia cutting saloon ndio maskani . Home Street 12. Home sweet Home tupo huku ughaibuni kwa ajili ya kutafuta tu.
  11. full power

    Wafanyakazi BAKWATA Makao Makuu wakosa mishahara kwa takribani miezi 11. Mufti, familia yake wapo matanuzi Morocco

    Wanafanya kazi kwa miemko ya Serikali na sio Waislamu. Ndio maana BAKWATA wanayumba sana kwenye kuongoza Uislamu. Wanaingiza Dini na Siasa. NB:- BAKWATA limepoteza muelekeo au Dira kwa Waislamu wotee hapa Tanzania.
  12. full power

    Usagaji: Watanzania tumefikia hapa?

    Wakuje huku wajameni, ninanyege kisado
  13. full power

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Niliomba Visa ya Iceland ndani ya wiki 1 tu walinipa
  14. full power

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Wengi wao wanapenda kwenda kwa waganga wa kienyeji ili kupata dawa ya mvuto. hiyo yote ni baada ya kuupoteza huo mvuto wake wa awali bila kujijua.
Back
Top Bottom