Recent content by Fue Fue

  1. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Tutakufa kwa uzembe mpaka lini???

    Nafurahia sana watu wenye moyo wa kutoa Mungu awajaze. Nauliza kodi zetu nani anakula mbona kila kitu Tanzania ni misaada??? Kama serikali haitumii kodi zetu sawa sawa, kama kodi zetu ndizo chanzo cha mitaji yao na familia zao. Kama kodi zetu ndizo zinazotumika kutupiga bakora kwanini tuendelee...
  2. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Je kura zitapigwa October 2015?

    Kuna kila dalili za uchaguzi kutofanyika mwaka huu mwezi October ya tarehe 25 kama ilivyoainishwa kwenye katiba ya JMT. Je kwa makusudi haya ya Tume ya taifa ya uchaguzi kujiingiza kwenye project ambayo walijua wazi hawaiwezekani kuisha kwa muda na vifaa, kweli taifa litakuwaje? Kwanini...
  3. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Team Same mashariki CHADEMA 2015-ushindi ni lazima

    Kama unahisi Ndoto Mtafute Anna Kilango au Michael kadeghe uwaulize! Muulize kwa nini Michael kadehe na Diwani wa Vuriva Ambaye ni mwenyekiti wa Barazxa la madiwani Same wameshindwa kutetea mtaa wao kwenye serikali za mtaa!
  4. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Team Same mashariki CHADEMA 2015-ushindi ni lazima

    Hali imekuwa ni ya furaha sana katika vitongoji vya na kata zote za Same Mashariki. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kujihakikishia ushindi mnono wa 70% jimbo hili. Hamasa ipo juu na wapiga kura wameiva vilivyo. Tumepiga Mbiru na Mbiru imesikika vilivyo. Ili kukamilisha zoezi hili la...
  5. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Anne Kilango alalamika kuingiliwa jimboni na DC

    Mbunge ambaye hatakiwi jimbo la Same mashariki Anna Kilango na Msomi ambaye hana uwezo wa kuwa Mbunge wameendeleza mtimanyongo wa kugombea jimbo ambalo wote hawatakiwi. Hawa wana CCM wanatakiwa wajue watu wa Same wamechoka na uchu wao wa madaraka. Same imechoka kufanywa dalali wa maendeleo. leo...
  6. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Team Same mashariki CHADEMA 2015-ushindi ni lazima

    Tunawashukuru wote walioshiriki kwenye chaguzi za serikali za mitaa, kura zenu ni heshima kubwa sana. Tunashukuru wapiga kura wote walioshiriki bila kujali vyama vyao. #TEAM SAME MASHARIKI 2015 CDM; Ushindi ni lazima, nawakaribisha wote kuungana nami kuleta ushindi wa heshima same kumwondoa...
  7. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Bado nafuatilia kwa karibu sana wilaya hii ya Same, tuna majimbo mawili ya uchaguzi, na upigaji kura na kuhesabu kumefikia tamati. Ila bado sijapta matokeo rasmi zaidi ya hedaru ambapo mitaa kadhaa ni CDM.
  8. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Isaidie Same ishinde uchaguzi wa 2015

    Mkoa wa Kilimanjaro ni mkoa amboa unaoonekana ngome ya Chadema. Mkoa huu umekuwa mstari wa mbele kujiletea maendeleo kwa wananchi wake kushiriki kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo. Kama biashara, kilimo, viwanda, ufugaji, huduma mbali mbali za jamii, usafiri, nk. Wilaya ya same ndio...
  9. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Membe kama unadhani unaisafisha Tanzania umepotea

    Kuona kwamba Serikali inatumia mali yote ya nchi yetu kwa kuondoshea umaskini; ujinga na maradhi; Kuona kwamba Serikali inaondoa kila namna ya dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa na upotofu; Tunapokopa fedha kutoka nje mlipaji ni Mtanzania. Na kama tulivyokwisha sema Watanzania ni watu maskini...
  10. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Zitto azidi kuwakalia kooni viongozi TPDC

    Mikataba anayo Jk, kwanini kuhangaika na wafuga mbwa wakati mwenye Mbwa yupo? Kila mwenye akili anajua kuwa hakuna mwenye ubavu wa kuzuia mikataba isitoke ila amri ya Raisi kwa watendeji wake. hao akina Andilile kwa ukweli watasumbuliwa tu ila bila ya Boss wao kukubali mikataba itoke...
  11. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Fujo hazita zaa katiba bora, zitaleta mapinduzi ya nchi kwa ghasia

    Mbuyu unaota na unaanza kama uyoga
  12. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Fujo hazita zaa katiba bora, zitaleta mapinduzi ya nchi kwa ghasia

    Walianza kama inavyoanza. Tanzania imekuwa ikisifiwa kuwa kisiwa cha Amani, kweli kabisa Watanzania ni kati ya watu wapole sana duniani, wasiopenda fujo, kufa, kuumia, au kupigania mali. Ni wepesi wa kumwachia Mungu pale wanapoona wameshindwa au uonevu umezidi zidi yao. Kizazi cha sasa...
  13. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Tuliwachia wajitungie katiba yao wanaileta kwetu tuikatae !!!!!

    Rasimu ya katiba ya CCM ipo mikononi mwa JK na Shein tayari kuletwa kwa wananchi. Tuliawaacha wajitungie rasimu yao ya chama cha mapinduzi. Wtaipeleka kwa wananchi kwa kutumia tume ya uchaguzi ya CCM, kura zitasimiwa na wanaCCM na kama wameweza kuchakachua kura 600 je itakuwaje kura zaidi ya...
  14. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania Haki ya kuzaliwa ni tunda la uzalendo

    Haki ya kuzaliwa ni haki ya msingi, Taifa linalojali watu wake litawakubali popote duniani walipozallia kwa kulinda utaifa wao. Haki ya kuzaliwa ndio msingi mkubwa wa uzawa duniani na Tanzania. Tukilinde kizazi chetu kwa kukitambua na kulinda uraia wake popote pale kinapozaliana. Leo dunia...
  15. Fue Fue

    JamiiForums Tanzania 2015: Upinzani lazima upate wabunge 130 ili kulitawala bunge

    Ikulu haitakuwa nzuri ukilikosa bunge, yeyote atakayeshinda kwenda ikulu bila bunge maisha yake yatakuwa magumu sana. Nguvu nyingi sana kwasasa kwa vyama vya CDM, CUF, NCCR mageuzi zielekezwe kwenye kushinda Ubunge. Kila chama kiwe na kambi mbili zinazojitegemea, kambi ya kwanza kuhakikisha...
Back
Top Bottom