Team Same mashariki CHADEMA 2015-ushindi ni lazima

Team Same mashariki CHADEMA 2015-ushindi ni lazima

Fue Fue

Senior Member
Joined
Jan 6, 2013
Posts
107
Reaction score
128
Tunawashukuru wote walioshiriki kwenye chaguzi za serikali za mitaa, kura zenu ni heshima kubwa sana. Tunashukuru wapiga kura wote walioshiriki bila kujali vyama vyao.

#TEAM SAME MASHARIKI 2015 CDM; Ushindi ni lazima, nawakaribisha wote kuungana nami kuleta ushindi wa heshima same kumwondoa mkoloni CCM.
Bendera, Bombo, Bwambo, Kihurio, Kirangare. maore, Mpinji, Mtii, Myamba, ndungu, Vuje na Vunta tuungane wote kushinda.

Kama una masilahi ya kiuchumi, afya, barabara, elimu, jamii, makazi, tufanye madiliko.

Send message to me.

Fue Fue
 
Mkuu hatujapata taarifa zozote kuhusu matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa!
Tuko pamoja mkuu kuifuta ccm!
 
Tunawashukuru wote walioshiriki kwenye chaguzi za serikali za mitaa, kura zenu ni heshima kubwa sana. Tunashukuru wapiga kura wote walioshiriki bila kujali vyama vyao.

#TEAM SAME MASHARIKI 2015 CDM; Ushindi ni lazima, nawakaribisha wote kuungana nami kuleta ushindi wa heshima same kumwondoa mkoloni CCM.
Bendera, Bombo, Bwambo, Kihurio, Kirangare. maore, Mpinji, Mtii, Myamba, ndungu, Vuje na Vunta tuungane wote kushinda.

Kama una masilahi ya kiuchumi, afya, barabara, elimu, jamii, makazi, tufanye madiliko.

Send message to me.

Fue Fue

Mbona kama nakumanya...ulewedi
 
Hali imekuwa ni ya furaha sana katika vitongoji vya na kata zote za Same Mashariki. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kujihakikishia ushindi mnono wa 70% jimbo hili.

Hamasa ipo juu na wapiga kura wameiva vilivyo. Tumepiga Mbiru na Mbiru imesikika vilivyo.
Ili kukamilisha zoezi hili la heshima na kutukuka, kila mwana Same popote alipo Tanzania na duniani anatakiwa aseme -CDM kwa maendeleo ya Same.

Bye Bye CCM Bye Bye mafisadi

Kutoka Same Mahariki
 
Hali imekuwa ni ya furaha sana katika vitongoji vya na kata zote za Same Mashariki. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kujihakikishia ushindi mnono wa 70% jimbo hili.

Hamasa ipo juu na wapiga kura wameiva vilivyo. Tumepiga Mbiru na Mbiru imesikika vilivyo.
Ili kukamilisha zoezi hili la heshima na kutukuka, kila mwana Same popote alipo Tanzania na duniani anatakiwa aseme -CDM kwa maendeleo ya Same.

Bye Bye CCM Bye Bye mafisadi

Kutoka Same Mahariki

Mh...hizi ndoto mbaya.
 
Hali imekuwa ni ya furaha sana katika vitongoji vya na kata zote za Same Mashariki. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kujihakikishia ushindi mnono wa 70% jimbo hili.

Hamasa ipo juu na wapiga kura wameiva vilivyo. Tumepiga Mbiru na Mbiru imesikika vilivyo.
Ili kukamilisha zoezi hili la heshima na kutukuka, kila mwana Same popote alipo Tanzania na duniani anatakiwa aseme -CDM kwa maendeleo ya Same.

Bye Bye CCM Bye Bye mafisadi

Kutoka Same Mahariki
Much as i support changes, naona kama this is going overboard

Wacha muda ufike
 
Hali imekuwa ni ya furaha sana katika vitongoji vya na kata zote za Same Mashariki. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kujihakikishia ushindi mnono wa 70% jimbo hili.

Hamasa ipo juu na wapiga kura wameiva vilivyo. Tumepiga Mbiru na Mbiru imesikika vilivyo.
Ili kukamilisha zoezi hili la heshima na kutukuka, kila mwana Same popote alipo Tanzania na duniani anatakiwa aseme -CDM kwa maendeleo ya Same.

Bye Bye CCM Bye Bye mafisadi

Kutoka Same Mahariki


Takwimu hizi umeoteshwa au?
 
Kama unahisi Ndoto Mtafute Anna Kilango au Michael kadeghe uwaulize! Muulize kwa nini Michael kadehe na Diwani wa Vuriva Ambaye ni mwenyekiti wa Barazxa la madiwani Same wameshindwa kutetea mtaa wao kwenye serikali za mtaa!
 
Tunawashukuru wote walioshiriki kwenye chaguzi za serikali za mitaa, kura zenu ni heshima kubwa sana. Tunashukuru wapiga kura wote walioshiriki bila kujali vyama vyao.

#TEAM SAME MASHARIKI 2015 CDM; Ushindi ni lazima, nawakaribisha wote kuungana nami kuleta ushindi wa heshima same kumwondoa mkoloni CCM.
Bendera, Bombo, Bwambo, Kihurio, Kirangare. maore, Mpinji, Mtii, Myamba, ndungu, Vuje na Vunta tuungane wote kushinda.

Kama una masilahi ya kiuchumi, afya, barabara, elimu, jamii, makazi, tufanye madiliko.

Send message to me.

Fue Fue
Safi kabisa kamanda folong'o...ehoie kikore?
 
Back
Top Bottom