Mi naona kinachotia shaka ni kufuatwa kwa utaratibu wa kutoa matamko/matangazo kutoka kwa taasisi za umma kwenda kwa umma, hususan kwny suala sensitive kama hilo la afya ya rasilimali watu ya Taifa…
Ukitaka kujua nini kilitakiwa kufanywa…nenda uka-review matangaz ya serikal kwenda kwa umma...
Ulichokipata kutoka kwenye thread ni kidogo sana kuliko kilichokusudiwa ukipate…
Direct impact ya matamko au matangazo ya wizara ya elimu, BoT, au hata hyo NBS unailinganisha vp na na impact ya matangazo ya Magonjwa ya mlipuko yanayolikumba Taifa???!…
Asante mkuu! Lakin kuhusu kuirudisha, naona inaweza ikawa taabu kdogo mana jamaa mwenyew alieniuzia nilikorofishana nae kwa7bu ya hiyo PC…nilimpa pesa nusu ili nikishaitumia hii PC na kujua whether ni nzima au inashida ndipo tumalizane; au arudshe pesa…after three days charger yke ikawa...
Habar zenu wakuu…!
Mi nimgeni kwny hili jukwaa, so naomba mnikaribishe!
Nilinunua kompyuta mpakato wiki tatu zilizopita ikiwa ni second hand. Ni "hp ProBook 4446s". Tatizo lnalonisumbua ni
1. Kutokukaa na charge(naamini tatizo linaweza kua ni Battery lake so naweza kuli-solve)
2. Nikiwa...
Kuna baadh ya movies za Hollywood scene zinazohusu kugegeduana basi wanagegeduana kweli! #It is all about uhalisia, sometimes....japokua hollywood si BongoMovie!... By the way, nowadays pornography is all around us!
Hiyo nliisikia... Alafu na BBC-Dira ya dunia walikua wana makala yao moja, ilirushwa mwaka 2014, ilikua inamuhoji mzee mmoja huko Kigoma... huyo mzee akawa anazungumzia ishu ya mti mmoja unaitwa MLIMOLA, ambao, kwa mujibu wa huyo mzee ulikua ni kinga kwa wezi wa mazao shambani, wachawi...
Inashangaza sana sasa upinzani wamegeuka na kuanza kusupport/kutetea wahujumu uchumi na mafisadi. Very strange!!!!
Sasaivi wanabeza na kuponda kila hatua za serikali, hata kama hatua hizo zina-respond to public interest. Very strange!!
On political lane, bado kuna tatizo moja ambalo binafsi...
Salam wakuu!
Naomba niwasilishe kwa lugha ya kigeni.
Kwa dhamira ya kuleta mantiki niliyoikusudia:
If everything was legal in this world for 12hrs. What would you do to change your life forever?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.