Magogoni hiyo hiyo ya anko mtumbaji, opp na OWM nyuma ya Wizara ya ardhi.
ni Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania ambacho kina Matawi Tabora, Tanga, Singia, Mbeya, Mtwara na hapa Dar, kozi zinazotolewa ni Secretarial Studies Cert&Dip, Records Mngt Cert&Dip, Accounts, HR, Librarian na nyingine...