Muda wa kutuma maombi NACTE huwa ni upi?

satura

Member
Oct 18, 2014
37
6
Naomba kujua kutoka kwenu wapendwa mimi nahitaji nitume maombi NACTE ngazi ya Cheti. Ufaulu wangu ni division IV ya 28 ambayo nina D katika masomo yafuatayo:-English, Kiswahili, Math, Geography, History, Chemistry, Physics na Biology. Pia nina F katika somo la Civics.

Shule nimaliza 2012, kulingana na sababu mbalimbali nilichelewa ku apply ila nina hobby ya kusoma sayansi niwe mwanamahesabu.

Je nikiomba maombi ya cheti NACTE, ni wakati gani hasa maana nasikia mwaka huu wamefunga. Sijui nifanyeje wapendwa, msaada tafadhali!
 
Omba uuguzi au uganga au mifuko ila ualimu sifa hizo ni ndogo ndalichako kanuna.
Kuwa makini si kila fani ya kuomba
 
Omba uuguzi au uganga au mifuko ila ualimu sifa hizo ni ndogo ndalichako kanuna.
Kuwa makini si kila fani ya kuomba
Ww ni mwalimu unaejifariji tu bora aombe afya au kada zingine maana ualimu ni Full kula vumbi
 
Back
Top Bottom