Hapa naona watakaoumia ni watumishi wanaoelekea kustaafu kwenye awamu hii. Niwatoe hofu wale ambao bado miaka mingi kustaafu maana kila awamu ya utawala ina kamfumo ka kufumua sheria za zamani na kuleta mpya. Hivyo awamu zingine za utawala ujao zitafumua upya na kuleta sera mpya na nzuri za...
NGO's & CBO's are non governmental and non profit organizations. Kwa nn wazifuatilie mapato wakati hazifanyi biashara? Waanze na vyama vya wafanyakazi ambavyo viko chini ya TUCTA maana ndo vinaumiza watumishi kwa makato ya mishahara. Kuna wale wanaitwa CWT wanaumiza sana walimu na mapato yao...
Kumbe hiyo sumu ya Aflatoxin haiko kwenye ugali pekee bali hata wewe mla chips mayai au kuku hata mishikaki inakuhusu. Inasemekana hata mnyama kama kuku, ng'ombe, mbuzi na wengineo akila vyakula vyenye hyo sumu basi hukaa nayo mwilini mwake na siku ukila nyama yake au mayai yake ama kunywa...
Na utafiti unaonesha kuwa makabila yanayokula sana ugali hapa tz yanazaliana sana....high fertility level. Sasa naomba nisaidiwe wanawezaje kuzaa sana wakati wanaupungufu wa sperm?
Naongezea: Contaminated Ugali has negative effect as it can cause infertility in Men because it contains...
GENTAMYCINE,
Na utafiti unaonesha kuwa makabila yanayokula sana ugali hapa tz yanazaliana sana....high fertility level. Sasa naomba nisaidiwe wanawezaje kuzaa sana wakati wanaupungufu wa sperm?
Naongezea: Contaminated Ugali has negative effect as it can cause infertility in Men because it...
Tanzania Broadcasting Corporation (TBC1) ndo mpango mzima. Sisi wa azam tuko na tbc yetu hatuna shida na siku hz tumepata uelewa wa kutosha kuhusu vipindi vyake k.v This week in Perspective, Tafakuri baada ya habari, Tunatekeleza, Technohama, Habari TBC, Mahusiano, Malikale, Zilipendwa...
Usimpatie mtu samaki bali mfundishe namna ya kuvua samaki. Kwa hyo siyo rahisi sana kutimiza mahitaji ya kila ndugu au rafiki ispokuwa mweleze jinsi ya kujikwamua. Watu wengi wameumia kwa kupenda kusaidia, huwezi kusaidia kila mtu kama serikali inayomiliki uchumi inashindwa kusaidia kila raia...
Wewe na yeye mmekua kitu kimoja coz naona dalili za kutambiana mishahara. Yeye alikwambia wazi na ww ulitakiwa umjibu hapohapo kama sehemu ya kumuelewesha. All in all hilo li mashine (crane) kulioperate siyo mchezo naona huyo mzungu anatakiwa aongeze salary zaidi maana kwa sehemu nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.