Ameassume kwamba huyo mwenzio atakuwa anakula 1.5m ,sjui katoa wapi details ,na akakadiria makato yako so akapata 800k kama full salary...mm naona wote wana dharau tu sema kila MTU kwa upande wakeAmejuaje kuwa hana pesa.
Nawew pia unadharau....yy anakudharau kisa hujasoma na wew unamdharau kisa hana pesa wew,kwahyo katika nyote nyie dharau zimewajaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida yao,ww angalia hata wale walioteuliwa na mkuu wa kaya walio soma UDSM ni malingo,kujivuna,dharau na mikwara kibao,kiutendaji hovyoooo....!! Tunawaona hukuitaani...!! Ukikaa na graduates wa SUA,UDSM na MZUMBE, wa UDSM utamjua tu maana dharau nyingi sana.Hii imetokea this week kuna shoga yangu mmoja nlisoma nae jangwani girls 2007 mimi sikufanikiwa kuendelea na Advanve mean nilifeli f~4 yeye akaendelea hadi chuo, UDSM
mimi baada ya kumaliza Olevel nikaenda kusomea course fupi fupi tofauti za mashine Opreratots, pale Bandari college nkasomea, Fork lift operator,Richstracker operator, na SSG Operator then baada ya hapo kuna ndugu yangu akaniconect na chuo kimoja kipo South Africa nkaenda kusomea Crane operator, then baada ya hapo nkala shavu kampuni moja ya wazungu hapa tz kama crane operator
Sasa huyu shoga yangu last week akanikuta site moja hivi nlikuwa nashusha heavy equipments, yeye alikuja kama mkaguzi yeye ameajiriwa Goverment, baada ya kuniona akacheka kinafki alafu kilichoniskitisha ni pale aliponiambia kuwa shoga yangu laiti ungesoma usingekuwa unateseka na michuma mda huu
Ikanibidi nicheke kwanza nikajiuliza huyu mtu amepata wapi huo ujasiri maana yeye ana bachelor na mimi nna vyeti vya kawaida tu, lakini hata mshahara wangu sijui kama ananipita maana mimi naoperate Crane ya 90tons (90,000kg)
View attachment 846107
Na basic salary yangu ya kuoperate hii crane ni 2.8 million/month hapo bado overtime na nyongeza nyingine lazima niondoke na 3.0m hadi 3.5m kwa mwezi na nna mkataba wa kudumu kabisa
Sasa huyu shogaangu sijui analipwa sh ngapi hadi kunizarau vile... Tu imagine analipwa
1.5million.. Toa HELSB+PAYE+NSSF+NHIF =take home 800,000
then ananznizarau mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa ukuje pmDuh, mkuu umekula shavu nene!
Nirushie basi vocha ya ef kumi inbox... Mie wa Ud na ndio hao tulio na maisha magumu...
Hahahaha!!..we jamaa bhana,..sawa mimi kilazaUdsm ni zaid ya kwazulu natal wacha ukabulu wa kifikra.umekosa udsm kwakuwa ni kilaz.a butu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwangua tu hiyo vocha unirushie namba huko Pm kiroho safi...
Hanikuti hata kwa dawaWewe na yeye mmekua kitu kimoja coz naona dalili za kutambiana mishahara. Yeye alikwambia wazi na ww ulitakiwa umjibu hapohapo kama sehemu ya kumuelewesha. All in all hilo li mashine (crane) kulioperate siyo mchezo naona huyo mzungu anatakiwa aongeze salary zaidi maana kwa sehemu nyingine waendeshaji wa cranes wanapiga mpunga zaidi ya huo wako.
Pombe nae si katoka udsm! Ndio maana antenna aifanyi Jaxon.Udsm ni zaid ya kwazulu natal wacha ukabulu wa kifikra.umekosa udsm kwakuwa ni kilaz.a butu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ifike maali msiwe mnaleta zarau na vibachelor vyenu mbele ya watu msiowafaham au kuwachunguza vizuri mishe zao, mtakuja kuaibika, umeajiriwa serkalni na bachelor yako unalipwa 1.5 million, PAYE+NSSF+HELSB+NHIF... TAKE HOME UNABAKIA NA 800K laki nane tu alafu unajiita msomi then unamcheka usiyemjua loo
Wewe na yeye mmekua kitu kimoja coz naona dalili za kutambiana mishahara. Yeye alikwambia wazi na ww ulitakiwa umjibu hapohapo kama sehemu ya kumuelewesha. All in all hilo li mashine (crane) kulioperate siyo mchezo naona huyo mzungu anatakiwa aongeze salary zaidi maana kwa sehemu nyingine waendeshaji wa cranes wanapiga mpunga zaidi ya huo wako.
doohMkuu kwa ajira za serikalini hizi tia majitia maji huo mshahara ni mkubwa mnoooooooooooooo tena Digriii afu mkaguzi tu
Labdaaanzie hio 800k then wakate abaki na 500k..