Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tunawaretea wananchi wetu maendereoooTuko kwenye "laiti traki"!!!
Tunawaretea wananchi wetu maendereoooTuko kwenye "laiti traki"!!!
Walio kuwa wanambeza Lissu sasa washaanza kujisonya sonya"Akimaliza kwetu atahamia kwenu" Tundu Lisu
Kwani wao ndio wanagharamia marudio ya chaguzi ndogo na ununuzi?tundu lisu ameshawafanya baadhi ya watu wasijishughulishe kufikiri, badala yake wamemuachia afikiri kwa niaba YAO.
nyie hamuoni watu wanavyotumia vibaya hizo fedha za wanyonge.
Ndivyo inavyofanyika siku zote na taarifa wanazo. Ila wakipenda wafute pia na Ngo zote Kama inavyoelekea kwenye vya siasa.Serikali imetoa siku 30 kwa mashirika yote yasiyo ya kiserikali kuwasilisha kwa msajili wa NGOs taarifa zake za fedha,vyanzo vyake vya fedha pamoja na miradi ilinayotekelezwa na inayotarajiwa kutekelezwa.
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee Na watoto Dk Faustine Ndugulile ametoa taarifa hiyo jijini Dodoma leo, ambapo amesema mashirika ambayo hayatafanya hivyo yatafutiwa usajili.
Dk Ndugulile amesema kumekuwa na tatizo la NGOs kufanya shuguli ambazo sio kipaumbele cha Taifa na wajibu wa kisheria, hivyo baada ya zoezi hilo kukamilika mashirika hayo yatatakiwa kutoa Taarifa zao za fedha pamoja na vyanzo vyake kwa serikali kila mwaka.
Tunachungulia ile njia ya miaka ya haya magari yalipokuwa yanagombewa mitaa ya postaKuna taarifa nimeiona Leo sikumbuki wapi,inasema serikali imefungia NGOs zote kwenye nchi hiyo kwa sababu zimeshindwa kufuata taratibu za nchi hiyo...Sasa nimeona hii taarifa nikaanza husianisha na ile taarifa
Thesis siwez ila sheria nenda google ni sheria ya NGO ya mwaka 2002
Ujamaa na kujitegemeakwanza serikali imechelewa kufanya ufuatiliaji huo. hizi NGO ziko kwa ajili ya manufaa ya umma. MAANA wanapata misaada na michango toka kwa wafadhili baada ya kutoa mipango ya jinsi watakavyo wasaidia kundi fulani la JAMII katika kupambana au kutatua changamoto zao. hivyo ni vyema na haki wakawa na uwazi katika mapato na matumizi YAO. isije ikawa wanatumia michango ambayo waliiomba kwa kusaidia watoto yatima, badala yake wakatumia tofauti. ni wakati sasa SERIKALI iwe na miongozo ya namna GANI bora ya kusimamia hilo.
NGO zimejaa Wana usalama waliojificha kwenye mwavuli wa kusaidia watu
zimejaa ukabilawaangewaachi jamani,wanasaidia serikali na jamii….
zimejaa ukabila
Kwani wao ndio wanagharamia marudio ya chaguzi ndogo na ununuzi?
Kama CIA ndiyo vichaka vyao.NGO zimejaa Wana usalama waliojificha kwenye mwavuli wa kusaidia watu
Aisee kama tunaelekea huko,hali haitokuwa nzuriTunachungulia ile njia ya miaka ya haya magari yalipokuwa yanagombewa mitaa ya postaView attachment 880577
Aisee kama tunaelekea huko,hali haitokuwa nzuri
Wawafute Marie Stopes na Nyota ya Kijani
Trust
Sasa mkuu unavyodhani kipi tunatakiwa tufanye sisi wananchi wa kawaida?Ndiyo hivyo wakati huo unga kwa foreni kazi hupati bila ya kadi ya uvccm
Tuisome namba tu maana tulikuwa wahamasishaji wa huo wimbo na tunaendelea kuunga mikonoSasa mkuu unavyodhani kipi tunatakiwa tufanye sisi wananchi wa kawaida?