Watanzania jamani, ni wapi tulikosea? Where are our priorities? Kama kuna utamaduni nahisi umepitwa na wakati ni hii michango ya harusi. Naona how simple harusi za watu wa magharibi zilivyo. Attendance watu 20 mpaka 40ndugu and close friends tosha. chakula just snacks and drinks. Why do we...
Mkuu unafaa kuwa comedian, nimecheka coz am a Yanga fan, hayo mengine ni kama uonevu kidogo.... kwa maoni yangu, not good stereotyping people though..........
Lugha ya Kiswahili inaweza kukujulisha. Nimebahatika kukutana na kadhaa especially kwenye Train (That was in Hamburg,Germany) wanaongea kiswahili na mimi kusikia nikasmile kwani I understood what they were saying. They also sensed that and afterwards we had a good conversation. Kwa physical...
Najivunia kuwa mchaga. Si rahisi kumpata mwenye vyote, mtafute marriage counselor anaweza kuwapa mwongozo. Growing up with Chaga parents or relatives walitilia mkazo kutafuta pesa and financial education. 'Sex education' remains a taboo and is hardly discussed. As a Chaga man, I am still...
RIP King Majuto! Alikuwa genious kwenye kila alichokifanya, he really kept us entertained as we were growing up and i could watch his films more than ten times na nilicheka kila wakati! A big blow indeed but a life well lived!
Great news! Sasa tupeni statistics za matumizi ya hizo simu na internet, usikute ni 'sosho midia' peke yake and tell us how that is in alignment with the industrialization policy of the government! TCRA should try as well to address affordability of the internet bundles, tunafaa kuongelea mambo...
wie schoen, das klingt super! Ja gerne, wir koennen unser Handynummer tauschen, wie macht man das auf Jamiiforums? Ich bin kein Expert in diese Forum. Bitte schick mir deine, falls es ok bei dir ist. Ich hab in 2015 ein paar Sprachkurz in Upanga gemacht.
Ich komme aus Kilimanjaro, Rombo. Ich reise ab und zu nach Deutschland. Es waere schoen wenn wir Kontakt tauschen. Ich habe deutsch am Goethe Institut gelernt und bin auch schon ein paar mal in Deutschland gewessen. Wo kommst du her?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.