Recent content by Free-will

  1. Free-will

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Tutendee haki Oligarch
  2. Free-will

    Tukumbushane kidogo

    Habari ya muda huu. Nataka tukumbushane kidogo, maana tumejisahau, kila ndugu msomaji hapa kwa namna moja au nyingine atakua anamiliki kimoja wapo Kati ya flashi au kompyuta, na kama una miliki vyote kwa pamoja hii Mada haikuhusu. Flashi inatakiwa kutunzwa na kulindwa, flashi ni fahari kwa...
  3. Free-will

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Haaaaa..!! Tukio la hatari kama hili bado unaenda kushuhudia ili iweje sasa?? kimbia wala usisogee acha vyombo vinavyohusika vishuhudie na vitupe taarifa
  4. Free-will

    Ujue upande wa pili wa Adolph Hitler: Historia inayominywa

    After WWI kwa vikwazo alivyowekewa ujerumani kama sio Hitler ujerumani Ingekua nchi ya kiboya sana hasa kiuchumi, wajerumani wengi sana wanaendelea kumchukulia Hitler ni mtu muhimu kuwahi kutokea kwenye nchi yao japo wanasheherekea Nazi party kwa siri sana.. Uimara na nguvu iliyonayo ujerumani...
  5. Free-will

    Nifanyaje ili nizuie message za Tatu Mzuka?

    Hiyo njia hapo juu sijafaham kama imefanya kazi ila njia rahisi wapigie kwa namba yao ya huduma kwa wateja 0659070070 watakuondoa kwenye SMS zao.
  6. Free-will

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Daah..!! Watekaji ni wazungu... Watekaji wametumia namba za msumbiji... watekaji wanaongea lugha za South Africa, Viongozi wetu hamuoni utoto mnaofanya mnatugombanisha na nchi majirani zetu mlizozitaja? Hapo hapo mnasema watekaji hawajulikani, kama hawajulikani mbona mnatumia nguvu kubwa sana...
  7. Free-will

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Ujinga na aibu iliyopitiliza hii, kwa hili tukio mpaka mtoto mdogo anajua mhusika atakua nani.
  8. Free-will

    Bajaj TVS King Inauzwa bei Nafuu

    Imetengenezwa mwaka gani mkuu?
  9. Free-will

    Mtume Muhammad: Ndege ni wanajeshi wazuri katika vita na ongeeni nao tu

    Ya Yani kwa haya uliyoandika ndio yanafanya ujiite mtaalam wa mijadala? Nimegundua kwa nini watu wengi wanapita tu bila kucoment, haupaswi kupewa heshima ya kujibiwa kwa sababu hutaki kujua, maana malalamiko yako yote umeshajibiwa kama ungetaka kuelewa ungeshaelewa. Endelea kukomaa kusoma...
  10. Free-will

    Mtume Muhammad: Ndege ni wanajeshi wazuri katika vita na ongeeni nao tu

    Mkuu.. Napendaga kusoma sana mada zako, ila katika mada zote unazoandika nimegundua yafuatayo. 1. Unaona unajua sana dini za watu kuliko wenyewe wanavyozijua kitu ambacho umeonesha udhaifu mkubwa kwenye mada zote ulizotoa na umeshindwa kuzitetea. 2. Mada zako nyingi unaweka kama unauliza swali...
  11. Free-will

    Usiku huu nimepata tabu sana

    Mkuu.. Hawa ni dada zetu ila tuishi nao kwa akili sana, kua na vitu vyote ivyo inaweza kua ni sababu nzuri pia ya yeye kukukataa just akuoneshe hana shida navyo hata kama anavitamani, lengo lake akuringie tuu, nakumbuka kuna mmoja huyo ilikua daraja la kigamboni, hua nina kawaida baada ya kuvuka...
  12. Free-will

    Usiku huu nimepata tabu sana

    Nishapoa mkuu
  13. Free-will

    Usiku huu nimepata tabu sana

    Nimejifunza mkuu, mke wangu kuja kufanya hizi mambo itakuja kua marufuku kabisa, nitafanya mwenyewe.
  14. Free-will

    Usiku huu nimepata tabu sana

    Habari wakuu. Jana wakati natoka kazini narudi nyumbani nikaona nipitie kwa mama ntilie ili nikifika geto mimi niangushe tu, nimemaliza kula nimefika nyumbani nimefungua geti naelekea kupaki gari mbele nikaona watu wawili wamekaa kwenye viti, ile sehemu waliyokaa mara zote hua ndio napaki gari...
  15. Free-will

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Kuacha kazi ni jambo gumu sana, mtu umezoea kila mwisho wa mwezi pesa inaingia kwa uhakika, ila kiuhalisia kukomaa na ajira Ni ugonjwa wa akili kwa maana share holder wote hua hawatosheki na faida kila mwaka mnapo achieve budget kuna wapa alarm Kua kuna uwezekano wa kupata zaidi wataongeza...
Back
Top Bottom