Nifanyaje ili nizuie message za Tatu Mzuka?

Nifanyaje ili nizuie message za Tatu Mzuka?

Ili kuondoa Msg zozote zinazokuja moja kwa moja kwenye simu yako(automatic advertise msg) fanya hivi:

Piga *#61# Kujua kama upo connected au forwarded wa hizo msg na KAMA ukikuta Forwarded ujue kuna watu wanasikiliza na kufuatilia mawasiliano yako ikiwa pamoja na hizp msg za tatu mzuka, Biko, bet nk.

Ili kujiondoa Piga ##21#.

Angalizo: hizo namba nimezipata humu humu kwenye mitandao sijui zaidi ya hapo. LAKINI zina fanya kazi vizuri sana sijui side effects yake LAKINI nilikuwa napokea msg zaidi ya 10 kila siku za 7msuka, boko, betgiaaa, tatu mzuka, nk na zingine hata sijawahi hata kucheza michezo hiyo zilikuwa zinakuja na simu yangu ilikuwa kama jalala na hata msg nilikuwa siziangalii kwa maana nilijua ni wale wale wa biko na tatu mzuka.

Lakini leo siku ya pili sijapokea msg yeyote ya tatu mzuka,biko,bet,nk.

Its work, but I dont know its original.
 
Usicheze kabisa, ukicheza Mara moja tu namba yako ni yao.
 
Hiyo njia hapo juu sijafaham kama imefanya kazi ila njia rahisi wapigie kwa namba yao ya huduma kwa wateja 0659070070 watakuondoa kwenye SMS zao.
 
Rafiki, ukipendwa unaongezewa. Paswedi yako sasa itashinda zaidi. Sasa kila baada ya dakika 10 unaweza kushinda mpaka M6. Kamp No 555111 Kumb No SHINDA.


Sipendi sipendi kabisa messages za hawa watu. Nimechoka sana.

Nifanyeje ili nisitishe huduma hii ?
Andika "stop au simamisha"
 
Ili kuondoa Msg zozote zinazokuja moja kwa moja kwenye simu yako(automatic advertise msg) fanya hivi:

Piga *#61# Kujua kama upo connected au forwarded wa hizo msg na KAMA ukikuta Forwarded ujue kuna watu wanasikiliza na kufuatilia mawasiliano yako ikiwa pamoja na hizp msg za tatu mzuka, Biko, bet nk.

Ili kujiondoa Piga ##21#.

Angalizo: hizo namba nimezipata humu humu kwenye mitandao sijui zaidi ya hapo. LAKINI zina fanya kazi vizuri sana sijui side effects yake LAKINI nilikuwa napokea msg zaidi ya 10 kila siku za 7msuka, boko, betgiaaa, tatu mzuka, nk na zingine hata sijawahi hata kucheza michezo hiyo zilikuwa zinakuja na simu yangu ilikuwa kama jalala na hata msg nilikuwa siziangalii kwa maana nilijua ni wale wale wa biko na tatu mzuka.

Lakini leo siku ya pili sijapokea msg yeyote ya tatu mzuka,biko,bet,nk.

Its work, but I dont know its original.
je kuna namna ya kurudi normal baada ya kutumia hizo number?
 
Rafiki, ukipendwa unaongezewa. Paswedi yako sasa itashinda zaidi. Sasa kila baada ya dakika 10 unaweza kushinda mpaka M6. Kamp No 555111 Kumb No SHINDA.


Sipendi sipendi kabisa messages za hawa watu. Nimechoka sana.

Nifanyeje ili nisitishe huduma hii ?
badili mtandao...I guarantee you utakuwa umewaweza asilimia 100....they will never ever come back to you.....
 
Back
Top Bottom