Usiku huu nimepata tabu sana

Usiku huu nimepata tabu sana

dadek wee pesa nagari hajaviona... Alafu mzaramo mmoja kaishia lasaba., mpaka kucha unakuta wamechafuka miguuu Ndio Amekuja kula Nyapu ya Mwanasheria.


Wanawake Waacheni aisee, sema nn, usiumie sana huenda alikua anakuonea huruma kukuunguza so kaamua kumuunguza mnyonge wa watu

Ila wee naye, Demu unamtaka. Upo naye nyumba moja.,,, bado unagar , Kakushinda?????

Mkuu.. Hawa ni dada zetu ila tuishi nao kwa akili sana, kua na vitu vyote ivyo inaweza kua ni sababu nzuri pia ya yeye kukukataa just akuoneshe hana shida navyo hata kama anavitamani, lengo lake akuringie tuu, nakumbuka kuna mmoja huyo ilikua daraja la kigamboni, hua nina kawaida baada ya kuvuka sehemu ya kulipia pale kuna kua na wanafunzi wengi wa shule ya msingi, kama unaenda mjini asubuhi wanasubiri lifti, basi hua nawachukuaga siku hiyo kuna mrembo alikua amekaa pamoja na hao wanafunzi si nikapaki karibu yao kabisa ili niwachukue wanafunzi basi yule mrembo alisonya na akawa anakimbilia gari ya abiria alijua nimepaki kwa ajili yake..bahati nzuri wale wanafunzi wanajua gari yangu wakaikimbilia.. Na yule dada akakosa na gari yenyewe ya abiria.
 
Usimruhusu kabisa .hawa jamaa wanafanyaga na massage kwaio wanagusa mishipa ya fahamu. Si unajua nerves zimekuwa connected from brain, spinal cord to the rest of the body. Kwaio zile nerves zimefika mpaka miguuni.wanasafisha kucha na kufanya massage. Mbona wenzetu wazungu na waasia hawana mambo kama haya. Sometimes huwa nasemaga Bora kuoa mzungu au muAsia wale ni wazuri tayari. Hawa dada zetu hawajiamini Kwa jinsi Mungu alivyowaumba ni shida kila kitu artificial kuanzia nywele, ngozi, makucha, rangi. Mungu alikuwa na makusudi kutofautisha mzungu, muAsia na black Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu na waAsia hawatengenezi kucha?

 
Mbona hukumwambia,au ulitaka akutongoze yeye kisa una gari?jaribu kuwa unafunguka sio udomo zege ila pole kwa kusikiliza sauti za mtifuano
 
Wazungu na waAsia hawatengenezi kucha?

Wabongo wamezidi. nmeishi Asia . Wao ni more natural than artificial kama ninyi dada zetu. Nmeishi na wadada wakiAsia.wadada wengi wakiafrica hamjiamini. Unamuona mdada ni beautiful mnajitengeza mpaka mnaboa. Mi sjaoa Ila my wife sitahitaji hayo manjonjo yaliyopotiliza. Yaani mke wangu anakuja kushikwa shikwa na jianaume lingine tena msafisha kucha ambaao ndio Malaya wakubwa. Kwangu nikimkuta viboko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wamezidi. nmeishi Asia . Wao ni more natural than artificial kama ninyi dada zetu. Nmeishi na wadada wakiAsia.wadada wengi wakiafrica hamjiamini. Unamuona mdada ni beautiful mnajitengeza mpaka mnaboa. Mi sjaoa Ila my wife sitahitaji hayo manjonjo yaliyopotiliza. Yaani mke wangu anakuja kushikwa shikwa na jianaume lingine tena msafisha kucha ambaao ndio Malaya wakubwa. Kwangu nikimkuta viboko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kuishi Asia
Ila hukuliona Hilo kwa sababu wao wanajikoleza
Weusi wanajibadilisha

 
Hahaha hawa wapaka kucha wanacheza sana na Nerves , hawajasoma kujua wapi ipo located lkn sasa mbwembwe zao zinawafikisha uko,..

Unakuta Mguu wa demu kaubana na Mapaja yake katikati, sasa madem kwa akili zao, kwakutumia unyayo wanakua wanataka waguse Mashine, nahapo ndo mawasiliano hufanyika mpaka K inaloa chakali .......

Mtu anakula mzigo !!
True mkuu unyayo ni sehemu sensitive sana..hapo lazima wawe wet tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa ni Zaidi ya Timbulo, unakaa na mtoto nyumba afu anakushinda
 
Haya mambo hayana formula... na mwanamke hatabiriki...

Unaweza ukampa kila kitu na usimpate kumgonga... ila akaja kugongwa na mwingine kwa kitu kidogo sana...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom