Recent content by Free life

  1. Free life

    Marekani kupitia Waziri Pompeo yaionya Uturuki isizitumie silaha kutoka urusi s400 la sivyo vikwazo zaidi vitaihusu

    Tafadhalini sana, naomba tusiwe tunaiweka tz katika masuala kama haya, tunadhalilisha nchi za watu.
  2. Free life

    Jambo CHADEMA kukataa kuhamia Dodoma

    Acheni ushamba wa mawazo.. uliambiwa wapi lazima kila taasisi makao yake makuu yawe Dodoma? Kwani Chadema ni government agency. Waambieni na wale wachawi wenu wa gamboshi wahamishie makao yao Dodoma..
  3. Free life

    Rais Magufuli awaalika Ikulu Wafanyabiashara wakubwa watano kutoka kila Wilaya

    Kuna watu unasikia wanashangilia JKT kujenga ukuta na kuokoa hela, haya ndio yanaathiri uchumi. Ingepewa kampuni Binafsi je ni watu wangapi wangepata faida, hadi malaya wa ambiance angeweza mlipia ada mwanae!
  4. Free life

    Rais Magufuli awaalika Ikulu Wafanyabiashara wakubwa watano kutoka kila Wilaya

    Mnapokuwa na viongozi wenye fikra za kipigania uhuru (1960s thinking) wakati tupo kwenye dunia ya :global economy' ndio haya matokeo yake. Hawa kina kabudi, na Boss wake walipaswa wawe kwenye kamati ya ukombozi afrika ya mwalimu nyerere sio Wafanya maamuzi juu ya maisha ya watu katika karne hii...
  5. Free life

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Mgimwa's son ni nani sasa hivi?
  6. Free life

    Kwa wanandoa! Tutafakari hili.

    Yapo haya sana ndugu. 'ni maisha ya siri'.
  7. Free life

    Kwa wanandoa! Tutafakari hili.

    kama vinashawishi watu kufanya nje, why wasivifanye ndani tu?
  8. Free life

    Kwa wanandoa! Tutafakari hili.

    Deleted!
  9. Free life

    Msaada: Kutenganisha facebook na messenger

    [emoji16] kwani kuna shida gani facebook?
  10. Free life

    Ea article: How to make africa's aviation sector fly

    Africa’s aviation sector has the potential to fuel economic growth. The International Air Transport Association (IATA) projects that the continent will become one of the fastest growing aviation regions in the next 20 years, with an annual expansion of nearly five per cent. Currently, there...
  11. Free life

    Lucky Dube ana mziki mzuri kuliko Bob Marley.

    mabadiliko ya muziki huu ni midundo...na dube alikuwa akichanganya na midundo ya kiasili south afrika....kama zile walizokuwa wakifanya mahotela queens..hata leo 2pac angekuwepo, angefanya trap [emoji16]
  12. Free life

    Kwanini Wanaume siku hizi wanapenda wanawake wenye WOWOWO?

    [emoji1787] kwa hiyo haya ni maumivu ya kudumu.
  13. Free life

    Lucky Dube ana mziki mzuri kuliko Bob Marley.

    bunny alipenda sana kusoften reggae yake. hata alipoachana na 'ndugu' yake bob, nyimbo zake nyingi zilikuwa na midundo 'mitam' zaidi... sikiliza hii boderation.
  14. Free life

    Kwanini Wanaume siku hizi wanapenda wanawake wenye WOWOWO?

    ni mindset tu....ilikuwaga 'english figure' siku hizi bata mzinga.....kama ushirikina vile, wenye vipara walikuwa dili, wakawa albinism, siku hizi nyeti za watoto.......so ni upepo tu....zama zinabdilika.....zama zenu flat itafika tu...[emoji16]
Back
Top Bottom