Recent content by free gage

  1. F

    Andrew Chenge: Rafiki wa Lowassa aliyepewa dola 1m za Escrow

    lowasa plus chenge= UFISADI ULIOKOMAA
  2. F

    Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

    chizi hilo liaskofu gwajima kazi kuiba wake za watu
  3. F

    Marafiki wa Lowassa waja na staili mpya

    CCM watakua na kichaa yaani wao ndio wamuondoe uwaziri mkuu leo wampe urais bwiiii
  4. F

    Maigizo ya Lowassa kwenye utafiti wa Positive Thinkers Tanzania - Ukweli huu hapa

    wajinga ndio wanaomlilia fisadi wao lowasa
  5. F

    Pigo la tatu kwa Lowassa, bado la Mwisho mwezi Mei

    anapoteza muda tu atapata kura za wanec alohonga lakin kamati kuu labda sophia simba tu ndiye atakayemtetea haaa haaa
  6. F

    Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

    wasira anakubalika kwa utendaji wake mimi nitakuwa mstari wa mbele kumpigia kura
  7. F

    Edward Lowassa: Mwanasiasa, mchapakazi, mfanyabiashara anayetabasamu!

    Mimi huwa inaniuma sana watz zaid ya milioni 40 tunanunuliwa kirahisi tu ..vijana wanatumika sana kumuweka lowasa ikulu lakin ukiwauliza watu wazima wengi wanakwambia huyu mtu hafai. Wa nini tumng'ang'anie halafu tukitoka hapo tunaanza kulia ooh maisha magumu . acheni njaa vijana tena...
  8. F

    Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

    Jinsi siku zinavyozidi kwenda ndivyo jinsi kasi ya siasa ya mzee huyu wasira inavyozidi kushika kasi mzee huyu sasa amekuwa tishio ndani ya chama na nje ya chama kutokana na kuzungumziwa kwa mapana wahenga walisema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.. ni kweli huyu mzee kwa sasa amekuwa...
  9. F

    Interview Eastern Zone NMB

    oral bado kuna watu bado wanaenda kwenye writen mpaka wiki ya tatu
  10. F

    Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

    Mkongwe huyu katika siasa asiye na kashfa yoyote ni kiongozi bora na mwenye focus kwa taifa...msitegee mh rais na kamati yake kumkata jina huyu kada makini na mkongwe ni matakwa ya chama kupata kiongozi mwenye dhamira ya dhati na mwenye kulifahamu taifa hili kwa sasa..wasira tunakuomba...
  11. F

    GUNINITA: Simuachi Makonda pamoja na u-DC wake, Kortini lazima

    guninita cha mtoto akalale mbele amwache makonda apige kazi
  12. F

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    msomi jembe la ukweli viva makondaaa
  13. F

    UKAWA kutangaza mrithi wa Steven Wassira Jimbo la Bunda mwezi Mei, 2015

    wasira atakuwa rais wa awamu ya tano
  14. F

    Rai: Lowassa atishiwa kifo

    aende zake huko
  15. F

    Vita ya Urais sasa ni Wassira na Lowassa

    Jinsi siku zinavyozidi kwenda ndio jinsi ambavyo vita ya urais inapamba moto, wataalamu wa siasa wanadai kuwa mwenye uwezekano mkubwa wa kupitishwa ni Wasira au Lowasa lakin kitendawili kwa Lowasa ni kuchafuka kwa faili lake kwani hiyo ndio itakayomuondolea sifa ya kugombea hivyo vyanzo...
Back
Top Bottom