kunayeyote aliepigiwa simu kwa ajil ya kuitwa kwenye oral interview?
Hivi wameanza kuita? Me pamoja na ninaowafahamu hamna aliyeitwa hadi sasa
wamepiga simu kuwataarifu waliofanikiwa kupass kwenye written. wamesema watatuma sms ili kutoa taarifa kuhusu siku ya oral interview.
Wewe umepigiwa simu?
Ndio nimepigiwa.
oral bado kuna watu bado wanaenda kwenye writen mpaka wiki ya tatu
Mimi nimepigiwa simu kwa ajili ya second interview lakn inabidi nisubirie msg ndio itatumwa kuelekeza ni siku gan kwa ajili ya oral interview.
oral bado kuna watu bado wanaenda kwenye writen mpaka wiki ya tatu