50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,139
- 4,119
Una Tshs ngapi??
Yaani nijipangie bei mwenyewe? loh.
ni-PM bei mkuu tuongee
Una Tshs ngapi??
Dr anaweza. Kwa kuwa ni mkali huwa hataki masihara kwenye ujinga
Mkuu ninapo sema hakuna msafi ccm ninaimanisha maana kila mtu yupo juu ya mwingine
Chademakwanza ukiwa MSAFI CCM utakuwa upo karibu na kaburi tu.Vinginevyo usijionyeshe..................
Aseme ukweli tu kwamba ndiyo wagombea urais wake.
Hivi kasema hawezi kuwasahau au hawezi kuwatupa?!!
Halafu kwenye picha upande wa kulia wa picha (middle right) naona kuna sijui waamini au baadhi ya viongozi wasio kuwa na asili ya Afrika, je wanahusika vipi hapo jukwaani?!
![]()
Ina maana kawa mlemavu?
Hao viongozi wanaosali kwake wengi wao walienda kwenye kikombe cha babu.
anatamba akiwa kanisani kwake tu,maana kuna wasiojielewa wengi hawaoji,mbona akienda polisi anasuga amezidiwa na kutia unyonge,wanasiasa wanaenda wanaenda kwake ili wapate kuungwa mkono na waumin wake maana hawajielewi
anatamba akiwa kanisani kwake tu,maana kuna wasiojielewa wengi hawaoji,mbona akienda polisi anasuga amezidiwa na kutia unyonge,wanasiasa wanaenda wanaenda kwake ili wapate kuungwa mkono na waumin wake maana hawajielewi
chizi hilo liaskofu gwajima kazi kuiba wake za watu
Nikweli kabisa
Huyu ndiye mchungaj tunayemtaka kwanza anamsimamo halafu haogop. Mungu azidi. Kumpa nguvu
Kwa hiyo mkuu, ushauri wako kwa sisi waislam ni kwamba tuichague ccm? Nahisi kama unatumika, siyo bure.