Recent content by Fredrick Nwaka

  1. Fredrick Nwaka

    Kumbukumbu ya miaka 30 tangu kutokea mauaji ya Kimbari dhidi ya watutsi nchini Rwanda

    Nchi ya Rwanda inaadhimisha miaka 30 tangu kutokea kwa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi mwaka 1994. kumbukumbu inayofanyika Jijini Kigali na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika, Ulaya, Amerika na Asia wakiongozwa na Rais Paul Kagame. Ishara ya kuanza kwa kumbukumbu ya...
  2. Fredrick Nwaka

    Nani anastahili kuwa rais wa TFF?

    Hayahaya wagombea wa urais wa TFF. Nani anastahili kuongoza mpira wa Tanzania kwa miaka minne ijayo? Binafsi naona Karia anastahili minne mingine kwa kuwa chini ya uongozi wake mafanikio yanaonekana. Tumefuzu Afcon. Simba imefuzu mara mbili robo fainali ya Kombe la Klabu bingwa Afrika...
  3. Fredrick Nwaka

    Mafanikio ya Simba yanazifunza nini timu za Tanzania?

    Mabingwa wa nchi Simba Sports Club wameondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika katika hatua ya robo fainali. Hata hivyo kufika hatua hiyo Ni mafanikio mengine makubwa kwa mabingwa hao wa Tannzania. Hii Ina maana kuwa mwakani Tanzania itawakilishwa na Timu nne kwenye michuano ya klabu...
  4. Fredrick Nwaka

    TBC ndio kielelezo cha Ustawi wa Taifa

    Wapo sana..Siku Moja utembelee utajionea
  5. Fredrick Nwaka

    TBC ndio kielelezo cha Ustawi wa Taifa

    Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mei mwaka huu litatimiza miaka 70 ya Uhai wake. TBC uliasisiwa mwaka 1951 na wakati huo ilijulikana kama Sauti ya Dar es Salaam. Tangu hapo TBC imepita vipindi mbalimbali na kubwa mojawapo likiwa ni kusaidia ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, ustawi wa...
  6. Fredrick Nwaka

    Uchumi wa mtu unaweza kumsaidia kupunguza matatizo ya afya ya akili

    Watalaamu wa Uchumi wanasema uwezo wa mtu kumudu maisha yake kuwa maana ya kuwa na chanzo cha fedha (iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri) humsaidia mtu kupunguza matatizo ya afya ya akili kwa maana atakuwa na uwezo wa kumudu mahitaji yake. Kwako mdau wa JF hili lipoje?
  7. Fredrick Nwaka

    Tuiunge mkono Simba, inaweza kututoa kimasomaso Watanzania

    Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika. Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
  8. Fredrick Nwaka

    Orodha ya matajiri Tanzania

    Inashangaza. Watu tunataka kuelewa
  9. Fredrick Nwaka

    Orodha ya matajiri Tanzania

    [emoji23][emoji23] Nataka kujifunza aise
  10. Fredrick Nwaka

    Orodha ya matajiri Tanzania

    Kuna ubishi mkali unaendelea hapa nilipo baada ya kifo cha Subash Patel. Tunaomba link au taarifa kuhusu utajiri wa Patel, je alikuwa milionea, bilionea au trilionea?
  11. Fredrick Nwaka

    Saashisha Elinikyo Mafuwe ni nani?

    Asante kwa taarifa angalau zitasaidia kuweka kwenye profile yake
  12. Fredrick Nwaka

    Saashisha Elinikyo Mafuwe ni nani?

    Alizaliwa wapi? Ana familia? Amefanya kazi wapi na wapi? Kasoma Shule/Chuo gani?
  13. Fredrick Nwaka

    Saashisha Elinikyo Mafuwe ni nani?

    Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe. Je, Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa.
  14. Fredrick Nwaka

    Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe yuko wapi? Siku zimebaki chache na haeleweki

    Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo ndugu Benard Membe hajaonekana hadharani yapata mwezi mmoja sasa (kwa maana ya kutofanya kampeni). Mara ya mwisho niliona andiko lake Twitter akitoa salamu za pole kwa kiongozi mkuu wa Chama chake Zitto Kabwe aliyekuwa akipatiwa matibabu Mjini...
Back
Top Bottom