Nchi ya Rwanda inaadhimisha miaka 30 tangu kutokea kwa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi mwaka 1994.
kumbukumbu inayofanyika Jijini Kigali na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika, Ulaya, Amerika na Asia wakiongozwa na Rais Paul Kagame.
Ishara ya kuanza kwa kumbukumbu ya...
Hayahaya wagombea wa urais wa TFF. Nani anastahili kuongoza mpira wa Tanzania kwa miaka minne ijayo?
Binafsi naona Karia anastahili minne mingine kwa kuwa chini ya uongozi wake mafanikio yanaonekana.
Tumefuzu Afcon.
Simba imefuzu mara mbili robo fainali ya Kombe la Klabu bingwa Afrika...
Mabingwa wa nchi Simba Sports Club wameondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika katika hatua ya robo fainali.
Hata hivyo kufika hatua hiyo Ni mafanikio mengine makubwa kwa mabingwa hao wa Tannzania.
Hii Ina maana kuwa mwakani Tanzania itawakilishwa na Timu nne kwenye michuano ya klabu...
Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mei mwaka huu litatimiza miaka 70 ya Uhai wake.
TBC uliasisiwa mwaka 1951 na wakati huo ilijulikana kama Sauti ya Dar es Salaam.
Tangu hapo TBC imepita vipindi mbalimbali na kubwa mojawapo likiwa ni kusaidia ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, ustawi wa...
Watalaamu wa Uchumi wanasema uwezo wa mtu kumudu maisha yake kuwa maana ya kuwa na chanzo cha fedha (iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri) humsaidia mtu kupunguza matatizo ya afya ya akili kwa maana atakuwa na uwezo wa kumudu mahitaji yake. Kwako mdau wa JF hili lipoje?
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.
Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
Kuna ubishi mkali unaendelea hapa nilipo baada ya kifo cha Subash Patel.
Tunaomba link au taarifa kuhusu utajiri wa Patel, je alikuwa milionea, bilionea au trilionea?
Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Je, Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa.
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo ndugu Benard Membe hajaonekana hadharani yapata mwezi mmoja sasa (kwa maana ya kutofanya kampeni).
Mara ya mwisho niliona andiko lake Twitter akitoa salamu za pole kwa kiongozi mkuu wa Chama chake Zitto Kabwe aliyekuwa akipatiwa matibabu Mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.