Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Hayahaya wagombea wa urais wa TFF. Nani anastahili kuongoza mpira wa Tanzania kwa miaka minne ijayo?
Binafsi naona Karia anastahili minne mingine kwa kuwa chini ya uongozi wake mafanikio yanaonekana.
Tumefuzu Afcon.
Simba imefuzu mara mbili robo fainali ya Kombe la Klabu bingwa Afrika.
Thamani ya ligi imeongezeka.
Kuanzishwa kwa ligi ya wanawake n.k.
Binafsi naona Karia anastahili minne mingine kwa kuwa chini ya uongozi wake mafanikio yanaonekana.
Tumefuzu Afcon.
Simba imefuzu mara mbili robo fainali ya Kombe la Klabu bingwa Afrika.
Thamani ya ligi imeongezeka.
Kuanzishwa kwa ligi ya wanawake n.k.