Inahusu Analyst wa CIA anagundua kuna bank transaction za kigaidi ambapo badae badae zinahusisha mtu na kaka yake wanaolipiza kisasi kwa Marekani baada ya matukio yalioua wazazi wao wakiwa watoto...ni nzuri kama mpenda matukio ya kigaidi kwa upande wa magaidi na CIA..
Sent using Jamii Forums...
Ila CAF wanatoa hizo fedha baada makundi kumalizika na sio sasa hivi mana kuna ongezeko kila nafasi nzuri timu ikishika katika kundi lake..Bado mpunga haujatema ila dah Yanga ya sasa Mungu tu anajua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.