Kiukweli hata mimi ningependa amalizie hii ngwe iliyobakia,then tuendelee na utaratibu wetu 2025,mindset yake na mipango yake ilikuwa imejielekeza mpaka 2025 asijilazimishe kwenda mpaka 2030,ingawa simpangii.
Unapozungumzia kukubalika hakuna mwanamuziki aliewahi kukubalika duniani kote na kupendwa kama Michael Jackson,ukweli kuwa hit songs zake zilikuwa zinaingia top ten katika nchi tofauti kwenye mabara tofauti,ukweli kuwa show zake zilikuwa zinajaza mpaka kutapika katika nchi tofauti na mabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.