Recent content by Fredinho

  1. Fredinho

    Movie Bora za Kihindi kwa muda wote

    1.Loha-Dharmendra,Amrish Puri...action kali balaa 2.Baazigar- Shah rukh Khan - stori isiyotabirika 3.Commando- Mithun Chakraboty - action na nachi tamu balaa
  2. Fredinho

    Stori gani uliwahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe 'kamba'?

    Kwamba straika wa Simba Fredy eti ni Fredy fungafunga!
  3. Fredinho

    Mwaka 2000 ulikuwa darasa la ngapi?

    umenikumbusha mbali sana aisee,na Hadija Kopa akatoa na wimbo wa y2k
  4. Fredinho

    Msaada kuhusu kuvunjika mguu

    Pole sana,ila ungemuuliza daktari wako ingekuwa poa sana.
  5. Fredinho

    Nikifika Dar nifikie wapi ambapo ndio center ya jiji?

    Ukiwa na hela ya kutosha kila sehemu ni centre
  6. Fredinho

    Kuna kila dalili Samia Suluhu atakuwa Rais wa muhula mmoja pekee, dalili hizo ni hizi...

    Kiukweli hata mimi ningependa amalizie hii ngwe iliyobakia,then tuendelee na utaratibu wetu 2025,mindset yake na mipango yake ilikuwa imejielekeza mpaka 2025 asijilazimishe kwenda mpaka 2030,ingawa simpangii.
  7. Fredinho

    Kumbe uzuri wa mwanamke akiwa na Nguo tu

    Kama uzuri wa mwanamke ni akiwa na nguo huwa tunatamani kuwavua nguo ili iwejee! Mwanamke anakuwa mzuri na kuvutia zaidi akiwa mtupu aisee!
  8. Fredinho

    Wasafi wamemsajili Lilian Mwasha kutoka Clouds FM

    Siku hizi hatuajiri ni mwendo wa kusajili tu!
  9. Fredinho

    Wanawake msiache kujamba kunako 6x6

    Siku akipitiliza akaharisha ndio utajua kujamba sio starehe.
  10. Fredinho

    Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

    Trekta haliwezi kuzuia kifo.
  11. Fredinho

    Leo ni TBT hebu sema ni beat ya wimbo upi ambayo ukiisikia tuu inaanza unapagawa

    Mikasi -Ngwair Bongo.com- TNG Hii leo- East coast Hizi beats ni balaa sana aisee
  12. Fredinho

    Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

    Unapozungumzia kukubalika hakuna mwanamuziki aliewahi kukubalika duniani kote na kupendwa kama Michael Jackson,ukweli kuwa hit songs zake zilikuwa zinaingia top ten katika nchi tofauti kwenye mabara tofauti,ukweli kuwa show zake zilikuwa zinajaza mpaka kutapika katika nchi tofauti na mabara...
  13. Fredinho

    Naitwa edwini mhogo kutoka shule ya msingi SHilawadu darasa la 5 B. Clouds Mungu anawaona

    Kwa lipi hilo kuuuuuuubwa mkuu! usilitaje bure jina la Bwana Mungu
  14. Fredinho

    Waungwana eti hili gari gani?

    Gapumbu.
Back
Top Bottom