Recent content by fredie92

  1. F

    Tundu Lissu: Nape si shujaa, amevuna alichokipanda!

    Kama alishinikizwa angejiudhuru ndo angekuwa shujaa...
  2. F

    Mwakyembe akutana na Ney wa Mitego na kuongea na waandishi

    Nahisi harufu ya onyo kali nyuma ya media...
  3. F

    Natafuta MacBook Pro

    Natafuta laptop tajwa hapo juu... Specifications iwe na RAM 8GB Harddisk 500 GB Ni-PM kama unayo pamoja na ulipo na gharama zako, biashara tufanye tarehe 7-11-2016.
  4. F

    System ya maji moto

    Salaam! Naomba kujua anaeweza kunielewesha jinsi huduma ya maji moto kwenye hoteli kubwa inavyofungwa! Mfano:- Hakuna valves mbili za ku-control maji (moja maji moto, moja maji baridi)kama maeneo mengi nilivyoona! Kwenye hotel kubwa valve ni moja na una adjust maji unayoyataka wewe! Naomba...
  5. F

    Niuzie Epson printer Lq 690

    Nilishapata mkuu!
  6. F

    Dondoo za Bajeti 2016/2017, kujitegemea kwa asilimia zaidi ya 80

    Ukiona mtu unamdai afu ananenepa ujue amekidharau...
  7. F

    Niuzie Epson printer Lq 690

    Natafuta printer tajwa hapo juu! Mwenye nayo tuwasiliane hapa na bei...
  8. F

    Sumaye aiangukia serikali

    Magazeti mengi ni majipu! Tuna tatizo la zanzibar na mengineyo ila lenyewe limeona suala ni Sumaye as front page!
  9. F

    Japo sikukubali, Lowassa umenifundisha mambo makubwa 08 yafuatayo...

    Kubisha kila kitu sio kipimo cha ubora wa kufikiri...
  10. F

    Tigo leo mmeniharibia sana

    Nilijua Mbeya tu... Till now NO mtandao bila maelezo.
  11. F

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Unawaza mimba? Hauwazi ukimwi? Kipi rahisi kuingia hapo? Pole....
  12. F

    Lowasa & team kuwafuata Mramba na Yona Keko

    Umeanzisha uzi ili utukanwe?
Back
Top Bottom