Tigo leo mmeniharibia sana

Tigo leo mmeniharibia sana

Yaani Khantwe mimi ni Halotel, vodacom na airtel sitaki kusikia wala kujua kama kuna kampuni inaekti kutoa huduma ya mawasiliano
 
Tigo leo ni nchi nzima, karbu halotel hakna usumbuf
 
Watakuja kudai mtandao wao umekuwa HACKED kama JF ilivyodai.
 
Sikumbuki ni lini nilitumia tigo kwani walinikera sana intaneti spidi kama konokono ukirudi katika vifurushi vya kupiga simu ni waongo sana eti dakika zisizogawanyika ukirogwa ukajiunga tu utaona matokeo yake kama ni kweli hazigawanyiki hizo dakika
 
Na vipi kuhusu tuliojiunga na vifurushi vyao na vinakaribia kuisha muda, watatufidia katika hilo? Maana katika bango lao la kuomba radhi, hawakuliongelea hilo. Na hata ukipiga huduma kwa wateja 100 - hawapatikani. Kikawaida wanatakiwa wapatikane kwenye namba hiyo, maana siyo wote wenye Access ya mitandao kama facebook, twitter, na mengineyo.

Ahsante!

Watakuja baadae na kutoa 2mb kama fidia kwa kila mteja..
 
Kama simu yako ni java sawa 2mb zitafaa lakini kama ni smart huwezi hata kuzifikiria hizo 2mb
 
Au ndo wanabadili frequency baada ya zile za mwanzo ku-expire mara tu jk alipomaliza muda wake hahaha tigo lazima mtoe tigo, bundle kwang.
 
Daah maskini GB zangu nimezibebanisha kwa siku 3 mfululizo inaniuma sana lazima wakirudi hewani niwaendee hewan tu haiwezekani lazima warudishe

Utastahajabu na roho yako pale watakapokupa 2mb eti kama fidia.
 
Kesho naenda makao.makuu kugombana nao ujinga ctaki nimeweza kuvumilia ujinga wa lubuva tu lkn c mbwiga mwingine

Lubuva kafanya nn kijana? Utaja kufa kwa mawazo bure..
 
Halafu walivyo wapuuzi,ikirudi hewani sidhani kama watafidia masaa yaliyopotea.Watu toka tumejiunga na vifurushi jana hatujatumia na muda ndio umeisha bila huduma.Hii nchi tunaponea upande gani jamani?
 
aiseee sasa sijui inakuwaje ?? mm wamefanya mpaka nimekolokocha simu yangu sana aisee.nimefuta futa vitu kwanza ilikata network ya internet baada ya hapo .ikawa majanga mazima. sasa sijui tuliopata hasara Leo watatufidia au ndio imekula kwetu
 
Tigo mnadharau wateja nikwanini hamtuelezi wateja"?customer care ziro"
 
Hahaha damn it kumbe tigo ndio inazingua, mimi kuna mtu nilipanga nionane nae leo saa 12 jion sasa nikawa napga hapatikani wala sms haziendi, nikajua ndio zile za asha mapromise! Afadhali sasa nimejua tatzo.
 
Lipeni fidia tigo..mmeleta mzaha sana leo
 
TiGo-express yourself
Smile you are with Tigo😂😂😂
Leo cjui wenye ndoa zao itakuaje???
Michepuko na small houses leo wanafurahije 😁😁?? Visingizio vitakuwa like "baby leo tigo hawapatikani" ...
So, wenye mahusiano leo kazi ipoooo👊👐
 
Poleni sana wadau,hamieni halotel,tigo sijaona ubora wao upo wapi ila kwenye wizi na magumashi nawakubali sana,laza salio uone kesho kama utaamka nalo tigo express your self.
 
Ww ukiwa nani cjawahi ogopa ujinga kama huo, kama kuna kitu nikiogopacho ni kile ninachoamin full ctop

Unapewa ushaur wa kitaalamu unaleta ngonjera, ngoja tuone sasa, nakupa mwezi 1.5 tu ndo utaelewa nini nilikuwa namaanisha hapo juu.
 
Back
Top Bottom