mkuu swali..
nmefungiwa umeme jumanne, mita imefungwa kwenye nguzo..
tatizo usiku inatokea umeme unakatika na kurud kwa jiran zangu unakuwepo ila kwangu inakuwa kama mchezo
hasa mida ya kuanzia saa mbil usiku mpaka saa nne mchana haitokei..
shida ni nin
Kwa wadau wanaotumia continental decoder, naomba mwenye ufaham kama imerudisha urushaji wa matangazo
au kama kuna namna ya kufanya ili kurudisha..
===========
Taarifa mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.