mkuu naomba unisaidie joining instructions ya J.K. NYERERE HIGH SCHOOL MBEYA na KAKONKO HIGH SCHOOL KIGOMA. nisaidie kupitia kwenye email hii: lingondwafred@gmail.com
Habari za saa hizi wadau,
Samahani sana wadau kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.Kuna dogo wangu amemaliza form four mwaka jana 2015 lakini kila akijaribu kufanya application NACTE kwa kozi mbalimbali inakuja sms kuwa namba yake ishatumiwa na mwombaji mwingine.
Lakini huyo dogo...
Samahan wadau naomba msaada kwa anayefahamu kuhusu hili, kuna dogo wangu amemaliza form four mwaka jana 2015 kila akiingia NACTE kwa ajili ya kufanya application ya Kozi anaambiwa namba yake ishatumiwa na mwombaji mwingine lkn huyo dogo hajawahi omba nacte zaidi ya siku hiyo na kwa mara ya...
Yaan Mwanafunzi kumpiga mwalimu, hiyo aikubariki hata peponi halafu unategemea walimu wengine wafurahie hicho kitendo,,,,??? Hapo kila atabeba mzigo wa dhambi kwa staili hiyo ya kupiga walimu halafu mkuu wa shule anatetea,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.