Jamani wana jamii naombeni kuuliza kw wenye uzoefu na utaalamu w mambo y saloon z kike ili iwe stable n muonekano mzuri w kuvutia wateja inahitaji km Tsh/=..?
Ushauri wangu kwko ni kumuacha huyo jamaa ako kimykmya bila kumwambia lolote yye na dada ako mana ukimwambia dada ni vita nyingne hiyo isiyo kuwa na refa ili waendelee na ww ukafnye yko mengine na faraja mpya kw new husband
Sure ndugu mana cku hakuna kabsa maana y blog hii(great thinkers)wamejaa watu ovyo had kero,wasio nn maana y msaada w mawazo chanya wanajari jamii itachekaje leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.