Mwanaume huyu amenichosha

Mwanaume huyu amenichosha

Nani alitangulia kati yako na dada yako kuwa mapenzini na huyu mwanaume? Labda wewe ndio umekuwa namba 2? Ila kuna methali inasema "kizuri kula na...........

Malizia basi. Pole sana
Imagine kwko sasa
 
Sometimes, p'ple hv to notice this; when someone asks for an advise, plz let us be serious, u never know in what extent your friend suffers.
Sure ndugu mana cku hakuna kabsa maana y blog hii(great thinkers)wamejaa watu ovyo had kero,wasio nn maana y msaada w mawazo chanya wanajari jamii itachekaje leo
sasa na sisi wengine unatuchukia kwani tumefanya je?
 
Ushauri wangu kwko ni kumuacha huyo jamaa ako kimykmya bila kumwambia lolote yye na dada ako mana ukimwambia dada ni vita nyingne hiyo isiyo kuwa na refa ili waendelee na ww ukafnye yko mengine na faraja mpya kw new husband
 
UNA UMRI GANI....NAONA UNACHUKIA WANAUME HAHAHA KUA KIAKILI NA KIFIKRA YA KIMAHUSIANO....POLE SANA MAUMIVU ULIYOPATA NAJUA INAUMA SANA ILA CHUKUA HATUA KUMJULISHA DADA YAKKO SIO UNALIA NAYO MOYONI AF UNACHUKIA WANAUME...
 
Dada yangu pole sana..ila uhitaji kuwachukia hivyo, sana sana wa kumchukia ni huyo boy friend wako kwa kukucheat,.. Usimchukie dada yako kabisa kwasababu hajui kama ni wakwako.Huyo mwanaume hakufai kabisa...na mshukuru Mungu kakuonyesha mapema.. Mwambie dada yako ili ajue huyo ni tapeli na malaya tu hala u move on..
 
lab
Nampenda sana huyu mpenzi wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu. Nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpenzi wangu.

Nimechanganyikiwa, naumia mno na wanaume nimewachukia sana.
da dda yako ni mtamu zaidi
 
Back
Top Bottom