fraule
Member
- Aug 26, 2015
- 78
- 19
Imagine kwko sasaNani alitangulia kati yako na dada yako kuwa mapenzini na huyu mwanaume? Labda wewe ndio umekuwa namba 2? Ila kuna methali inasema "kizuri kula na...........
Malizia basi.Pole sana
Imagine kwko sasaNani alitangulia kati yako na dada yako kuwa mapenzini na huyu mwanaume? Labda wewe ndio umekuwa namba 2? Ila kuna methali inasema "kizuri kula na...........
Malizia basi.Pole sana
Sure ndugu mana cku hakuna kabsa maana y blog hii(great thinkers)wamejaa watu ovyo had kero,wasio nn maana y msaada w mawazo chanya wanajari jamii itachekaje leoSometimes, p'ple hv to notice this; when someone asks for an advise, plz let us be serious, u never know in what extent your friend suffers.
sasa na sisi wengine unatuchukia kwani tumefanya je?

da dda yako ni mtamu zaidiNampenda sana huyu mpenzi wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu. Nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpenzi wangu.
Nimechanganyikiwa, naumia mno na wanaume nimewachukia sana.