Channel Ten badilikeni mnaboa

Channel Ten badilikeni mnaboa

Chanel ten ilikua ileeeeee.....iliyokuwa inaonyesha UEFA sio hii mkuu wavumilie tu hapo mbona wamejitahidi sana
 
...ungejaribu kufuta tv yako kwanza,laaaaabda itakuwa ina vumbi....



....ila kweli wale jamaa wanaboa
Mkuu kitabu nimefuta sema tu ndo hivo mitambo yao itakuwa imepata kutu waisafishe labda itaonyesha picha zenye nafuu hata kalogo kao kana ukurutu wakati kanaonekana kalibuniwa vizuri
 
Mkuu kitabu nimefuta sema tu ndo hivo mitambo yao itakuwa imepata kutu waisafishe labda itaonyesha picha zenye nafuu hata kalogo kao kana ukurutu wakati kanaonekana kalibuniwa vizuri
au studio ipo karibu na barabara ya vumbi
 
Yaani nyie picha zenu ni mbovu kweli mnaweza kuwa na content nzuri lakini picha zimefubaa kweli tena ni vipindi karibia vingi, jamani mna vipindi baadhi vizuri ila ubora wa picha hakuna kabisa, mathalani Habari picha hazifurahishi kabisa.BADILIKENI
Sure boy mana siwaelew kabsa hata star tv ila ikfka bbc wanakuwa vzr
 
clouds TV nao wabadilike mihabari yao haina mvuto kabisa

Hao channel ten imekuwa channel ya mahubiri na waganga wa tiba za asili , yaani mda wowote ukiwasha lazima ukutane na moja kati ya hivyo viwili

Ila nahuzunika kufungiwa Kwa Magic FM maana wakina Mkambala na Marry Edward uchambuzi wao wa magazeti ulipata umaarufu mkubwa hadi tukawa tunachelewa kazini ili kuwasikiliza
 
clouds TV nao wabadilike mihabari yao haina mvuto kabisa

Hao channel ten imekuwa channel ya mahubiri na waganga wa tiba za asili , yaani mda wowote ukiwasha lazima ukutane na moja kati ya hivyo viwili

Ila nahuzunika kufungiwa Kwa Magic FM maana wakina Mkambala na Marry Edward uchambuzi wao wa magazeti ulipata umaarufu mkubwa hadi tukawa tunachelewa kazini ili kuwasikiliza
Nadhani magic wameshafunguliwa.
 
Kuna kaTV kamekuja juzi kana quality sana kaTV 1 sijui nani mmiliki hongera zake wana picha nzuri wengine waige basi
 
usisahau na tbc jamani hizi tv video zao wanachulia na zile smartphone za kichina xiong au kongxida
 
Back
Top Bottom