Recent content by Frateh

  1. Frateh

    Tuweke kumbukumbu sawa, Bethlehem alikozaliwa Yesu sio Israel, ni Palestine

    Tafsiri ya Yesu ni kristo kwa maana ingine muokozi.hakukuwa na ukristo kabla ya Yesu hivyo wafuasi wote wa yesu ni wakristo sababu wameamua kumuamini na kumpokea Yesu(kristo)
  2. Frateh

    Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

    mkuu mm natafuta naomba namba za dalali..maeneo ni kihonda, kilakala au forest.
  3. Frateh

    Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

    Stress ni kitu ambacho hakiepukiki kutokana na changamoto za maisha tunazopitia. Lakini cha msingi ni namna ya ku manage hizo stress japokuwa kuna baadhi vya vyakula huwa vinayumika kupunguza stress sababu vinakufanya upumzike vizuri. Jaribu kutumia biringamya kwa wingi wakati wa kulala na...
  4. Frateh

    The Notorious BIG's 20

    It might be bt which song has proven that claim?
  5. Frateh

    The Notorious BIG's 20

    Sure.. as long as it is a matter of opinion and not a factual matter, I would say you are ryt 100% bt to me no one like big. Notorious had its own remarkable rapn style as well as grt freestyling ability. He came in game and become hip hop figure for short period of time.
  6. Frateh

    The Notorious BIG's 20

    Black and ugly as ever na sio hamorapa..B.I to the G was phenomenal..
  7. Frateh

    Naiona CCM ikifanikiwa na kudumu zaidi ya miaka 20 Ijayo

    Mkuu umesahau kuwa wananchi ndio tunaamua chama gani kibaki madaraki japo sina uhakika kama huu mfumo unafanya kazi kwenhe nchi nyingi za afrika na kingine..mabadiliko ya CCM yana manufaa gani kwa wananchi..
  8. Frateh

    Nape, usipolichukulia MwanaHALISI hatua utakuwa una chuki binafsi

    Inatakiwa akane kwa vyeti.
  9. Frateh

    Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    tafuta tvs lakini hakikisha body ni nzuri na pia haijachoka. tvs ni nzuri sababu hudumu kwa muda mrefu na zinatengenezeka
  10. Frateh

    Zitto Atuma Salaam Nzito. Kuna Mkakati Mzito Bungeni

    Kama hupendi upinzani basi hupendi democracy sababu vyama vingi(vyama vya upinzani) ni moja kati ya nguzo kuu za democracy. Vilevile sizani kama wapinzani huwa wanabisha tu bila hoja, na kama ingekuwa wanabisha bila hoja za msingi basi upinzani usingekuna nguvu kiasi hichi. Sema bro unachuki...
  11. Frateh

    Ushauri: Amekuwa ni mtu mwenye hasira na kubadilika badilika

    Pole sana kwa hali ya mpito unayoipitia lakini ni jambo la kawaida hususa ni pale matatizo yanapotokea especially katika swala la uchumi. Nasema ni hali ya kawaida sababu ukisoma vizuri cognitive theory inaeleza bayana jinsi mwanadamu anavyobadilisha mwenendo haswa pale anapokuwa na stress. Na...
Back
Top Bottom