Recent content by Franklee

  1. Franklee

    Ni kwanini gari za Singapore zinaogopwa?

    Yani wananunua kutumia tu hakuna service wanahisi atakae nunua atafaidi sana, kuna moja tulikuta haina bearing moja kwenye drive shaft yaani it’s weird walikua wanafanya nini mpaka wakaitoa
  2. Franklee

    Ni kwanini gari za Singapore zinaogopwa?

    Pole sana mkuu, sema gari zao zinakuaga top trim nzuri sana hapo ndo mtego ulipo
  3. Franklee

    Ni kwanini gari za Singapore zinaogopwa?

    Cha kwanza inabidi ujue kuwa kumiliki gari ukiwa Singapore ni mtiti, kukamilisha usajili wa gari ukiwa Singapore inawezekana ikawa ni gharama zaidi hata ya Tz japo sisi tunatumia second hand wao hata mpya zinakua na gharama sana. Kuna kitu kinaitwa Certificate of Entitlement (COE) hapa...
  4. Franklee

    This is too much muda umefika kusema no kwa jkt

    ndoto za kunyoa kipara zinatimia
  5. Franklee

    Nampenda huyu msanii

    ni km akina nanii tu ana skendo kibao kule ug
  6. Franklee

    Nani kamponza sioi sumari...!

    hahaahahhaha hiyo nouma
  7. Franklee

    Nani kamponza sioi sumari...!

    hahahahahaha
  8. Franklee

    Lusinde na kampeni za matusi umeambulia aibu kubwa

    kajifungu toto la kiume linamatusi ka nn
  9. Franklee

    Kwa matokeo haya Arumeru, ni pigo kwa B.W. Mkapa

    nikiziona rangi za ccm tu,,, znafanana na na rangi za umaskini. nashukuru wana arumeru mmeliona hilo
Back
Top Bottom