Yani wananunua kutumia tu hakuna service wanahisi atakae nunua atafaidi sana, kuna moja tulikuta haina bearing moja kwenye drive shaft yaani it’s weird walikua wanafanya nini mpaka wakaitoa
Cha kwanza inabidi ujue kuwa kumiliki gari ukiwa Singapore ni mtiti, kukamilisha usajili wa gari ukiwa Singapore inawezekana ikawa ni gharama zaidi hata ya Tz japo sisi tunatumia second hand wao hata mpya zinakua na gharama sana.
Kuna kitu kinaitwa Certificate of Entitlement (COE) hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.