William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
STAR TV- msoma magazeti aruka vichwa vya habari vinavyohusu matokeo ingawa picha zilimsuta. Mf. Mwananchi iliandika "CCM HOI ARUMERU MASHARIKI" kilirukwa
Msimamizi asoma matokeo kwa kigugumizi kikubwa na kukoseakosea
Mgombea wa CCM ala kona fasta hakusubiri kuhojiwa na vyombo vya habari.
Star tv hawakulejea tena kutuletea matokeo usiku wala asubui kama walivyokuwa wametuahidi.
Utabiri wangu. BAADA YA TIDO MUHANDO MAGAMBA KUMVAA DIALO na Watangazaji wa mlengo wa kati au mkurugenzi SAMADU HASANI WA star tv kwa kuwapa airtime CHADEMA.
Kwa mara ya kwanza nazani na ya mwisho NASARI APEWA AIRTIME YA KUTOSHA TBC.
Malini S. Ajilazimisha kucheka huku sura ikisomeka tofauti
we umeona yapi?
Msimamizi asoma matokeo kwa kigugumizi kikubwa na kukoseakosea
Mgombea wa CCM ala kona fasta hakusubiri kuhojiwa na vyombo vya habari.
Star tv hawakulejea tena kutuletea matokeo usiku wala asubui kama walivyokuwa wametuahidi.
Utabiri wangu. BAADA YA TIDO MUHANDO MAGAMBA KUMVAA DIALO na Watangazaji wa mlengo wa kati au mkurugenzi SAMADU HASANI WA star tv kwa kuwapa airtime CHADEMA.
Kwa mara ya kwanza nazani na ya mwisho NASARI APEWA AIRTIME YA KUTOSHA TBC.
Malini S. Ajilazimisha kucheka huku sura ikisomeka tofauti
we umeona yapi?