na MUNGU huyo huyo ndo alipanga Mwaulesi na Kasesela wakutane ili idhihirike na ni MUNGU atakae muinua tena Mwaulesi nafasi ya juu......... ishike tarehe ya leo
mbona hawa wanaopiga pesa bila nguvu ndo wapo wengi unajua wenye hela ni wanasiasa na sio wale wafanya biashara.... lkn wakionekana wao ndo wenye hela hawataaminika kwa jamii yao waliyoiaminishankyuwa nwao ni wawakilishi wa shida zao
Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee...
kama dunia ni flat basi huo na jua ndo linaizunguzuka dunia basi jua mwanga wa jua ungefika kote dunia nzima maana wote ni flat na wote tungekuwa na majira ya mwaka ya aina moja yani km masika ni wote au vuli ni wote
kitu cha kutambua hapa kumbuka kila mwanasayansi hasa hao wenzetu wameumbwa na...
katika vyeo vya kijenerali viko vi4
kuna 1-Brigedia jenerali
2-Meja jenerali
3-Luten jenerali
4-JENERALI...huyu ndio top
nchi nyingi dunian kwa 95% JENERALI anakuwa mmoja kama mkuu wa majeshi...ila kwa ha octavo wengine kuanzia Luten Jenerali wanakuwa zaidi ya mmoja...hapa TZ kwa sasa LUTEN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.