Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    540
Kitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana, yaani huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara, jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakini hiki ktu hakiwezekani lazima kwingine kuwe usiku kwingne mchana, halafu UN bendera yao waliitoa hivo ili mabara yote yaonekane vizuri (yaani picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
ww ndo umecomment kitu kizur ambacho nimekifiria mimi safiiii
 
kama dunia ni flat basi huo na jua ndo linaizunguzuka dunia basi jua mwanga wa jua ungefika kote dunia nzima maana wote ni flat na wote tungekuwa na majira ya mwaka ya aina moja yani km masika ni wote au vuli ni wote
kitu cha kutambua hapa kumbuka kila mwanasayansi hasa hao wenzetu wameumbwa na utashi wa ushindani yn kila mtu anataka atoe kitu au abishe na si kukubali cha mwenzake atafanya utafiti ambao utapelekea aje na majibu yake. brothers and sisters yupo MUNGU na si vyote tutakqvyovipatia ufumbuzi.
alivyotengeneza mwanadamu vyote vinachunguzika iwe roboti, silaha, na vifaa vyote na vinaajibu.
lakini alivyoumba MUNGU havalimalizi tafiti wala uchunguzi ni wanachunguza miaka na miaka toka elimu ziwepo iwe miti, bahari, anga, na vyote havinaga majibu kamili ya kuridhika
hii ndo tofauti ya MUNGU na wanadamu.
 
kama dunia ni flat basi huo na jua ndo linaizunguzuka dunia basi jua mwanga wa jua ungefika kote dunia nzima maana wote ni flat na wote tungekuwa na majira ya mwaka ya aina moja yani km masika ni wote au vuli ni wote
kitu cha kutambua hapa kumbuka kila mwanasayansi hasa hao wenzetu wameumbwa na utashi wa ushindani yn kila mtu anataka atoe kitu au abishe na si kukubali cha mwenzake atafanya utafiti ambao utapelekea aje na majibu yake. brothers and sisters yupo MUNGU na si vyote tutakqvyovipatia ufumbuzi.
alivyotengeneza mwanadamu vyote vinachunguzika iwe roboti, silaha, na vifaa vyote na vinaajibu.
lakini alivyoumba MUNGU havalimalizi tafiti wala uchunguzi ni wanachunguza miaka na miaka toka elimu ziwepo iwe miti, bahari, anga, na vyote havinaga majibu kamili ya kuridhika
hii ndo tofauti ya MUNGU na wanadamu.
Inawezekana haujaelewa dhana ya Jua kuizunguka dunia mpaka usiku na mchan kupatikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu picha za mwezi nazo sio za kweli, je mwezi nao ni flat?.... kama mwezi sio flat kwanin dunia iwe flat?



_____________________________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.

Baada ya kujibu swali unaongeza swali , mwezi na dunia ni vitu viwili tofauti vinavyo fanya kazi pamoja ,,, yani ni kama unajaribu kusema kwa sababu keki ina ngano kwanini andazi lisiwe keki , think twice
 
Baada ya kujibu swali unaongeza swali , mwezi na dunia ni vitu viwili tofauti vinavyo fanya kazi pamoja ,,, yani ni kama unajaribu kusema kwa sababu keki ina ngano kwanini andazi lisiwe keki , think twice
Kwasababu umekuja na hoja ya flat earth, ninajaribu kupata ufahamu wako kwenye eneo hilo. Kwasababu jibu lako linaweza kujibu ulichoulizwa, sikuona haja ya kurudia kujibu ambacho kimeshatolewa majibu.

Sasa, nikikuuliza jua linakuwa wapi wakati wa usiku kwenye flat earth? Usiku ni matokeo ya kivuli chake chenyewe dunia, unapataje icho kivuli kwenye flat earth? Inakuwaje kila muda kila saa.... tamka muda wowote sasa hivi. Nikiwa naandika ujumbe huu saa 13.18 , somewhere else ni saa 14.18, saa 15.18 , 00.18 n.k. so uliyekuja na hoja ya flat earth hauwezi kukwepa maswali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu akienda antactica anavotaka itakuwa vurugu , ni sawa wabongo wote mwende serengeti km mnavotaka wanyama watabaki? mambo mengine mleta mada ni ya kufikiri tu. mda huu JUNE ...LESOTHO, n/zealand,agentina nk NI BARIDI, why is kuliko Indonesia,tanzania, kenya fikiriage! umekunja midole kwenye Key board buure!
 
Kila mtu akienda antactica anavotaka itakuwa vurugu , ni sawa wabongo wote mwende serengeti km mnavotaka wanyama watabaki? mambo mengine mleta mada ni ya kufikiri tu. mda huu JUNE ...LESOTHO, n/zealand,agentina nk NI BARIDI, why is kuliko Indonesia,tanzania, kenya fikiriage! umekunja midole kwenye Key board buure!
Huo mfano wa nchi zenye baridi ni kwa sababu Jua linazunguka Dunia..
 
kama dunia ni flat basi huo na jua ndo linaizunguzuka dunia basi jua mwanga wa jua ungefika kote dunia nzima maana wote ni flat na wote tungekuwa na majira ya mwaka ya aina moja yani km masika ni wote au vuli ni wote
kitu cha kutambua hapa kumbuka kila mwanasayansi hasa hao wenzetu wameumbwa na utashi wa ushindani yn kila mtu anataka atoe kitu au abishe na si kukubali cha mwenzake atafanya utafiti ambao utapelekea aje na majibu yake. brothers and sisters yupo MUNGU na si vyote tutakqvyovipatia ufumbuzi.
alivyotengeneza mwanadamu vyote vinachunguzika iwe roboti, silaha, na vifaa vyote na vinaajibu.
lakini alivyoumba MUNGU havalimalizi tafiti wala uchunguzi ni wanachunguza miaka na miaka toka elimu ziwepo iwe miti, bahari, anga, na vyote havinaga majibu kamili ya kuridhika
hii ndo tofauti ya MUNGU na wanadamu.

Jua haliwezi kumulika kote kwa wakati mmoja ikiwa jua ndio linazunguka dunia....
 
nitaachaje ujuaji kwa kitu nikithibitishacho, kwahiyo wew huwa unaliona jua limesimama au linatembea?

kwa ukubwa wa dunia na udogo wa jua ni ngumu mwanga wa jua kumulika dunia nzima.

fanya hivi, kwa namna utakavyoweza kufanya au kufikiria, kale kamshale cha saa katika saa ya mshale kawekee mwanga kwa chini katika point yake inayoonesha namba za saa. je mwanga huo unaweza kuxlzimulika namba zote kwa wakati mmoja?

NB: usisahau kuwa wengi kama si wote tumeisoma dunia mviringo... sasa kama wewe umegoma kuisoma na dunia tambarare usiamini uko sahihi ktk ulichojifunza kama kina hoja kinzani juu yake.

au unaamini katka nzi ndani ya gari, sawa na binadam na miti safarini? basi kumbuka vibrate kuifell ni rahisi zaidi hat ikiwa kwa kiasi kiduchuu sana, vp hatuifeel kwa mzunguko wa dunia.?
 
Dunia ni flat nusu kipenyo cha hiyo sahani ni kama maili 3965 na thickness yake ni maili ngapi? Tuanzie hapo kwanza.
 
Dunia ni flat nusu kipenyo cha hiyo sahani ni kama maili 3965 na thickness yake ni maili ngapi? Tuanzie hapo kwanza.
Utaijuaje na wewe upo ndani yake... yaani ni sawa umfunike kwa bakuli mtu aliyesimama kwenye sahani halafu akuambie hiyo thickness.. hatowezakujua maisha mpaka atoke nje ya bakuli.

Na sisi kuijua thickness ni issue cozhatuwezi kutoka nje ya firmament uzio ulioifunika dunia. Tulimalizie hapa!
 
Utaijuaje na wewe upo ndani yake... yaani ni sawa umfunike kwa bakuli mtu aliyesimama kwenye sahani halafu akuambie hiyo thickness.. hatowezakujua maisha mpaka atoke nje ya bakuli.

Na sisi kuijua thickness ni issue cozhatuwezi kutoka nje ya firmament uzio ulioifunika dunia. Tulimalizie hapa!
Kama radius imepatikana hiyo thickness inashindikanaje?maana kama uko ndani unapataje radius?,hata hivyo binadamu leo anaweza kutoka duniani na kwenda nje ya dunia maili nyingi tu anashindwa vipi kuiona dunia ikiwa sahani au kopo? Kimsingi hizi za sahani ni porojo tu.habari ya dunia tufe ishakuwa proved enzi za merikebu mwanzo waliogopa kuwa watafika mwisho halafu wanguke lkn watu wakasafiri kuelekea upande wa magharibi hadi walipo rejea walipo toka.
 
Kama radius imepatikana hiyo thickness inashindikanaje?maana kama uko ndani unapataje radius?,hata hivyo binadamu leo anaweza kutoka duniani na kwenda nje ya dunia maili nyingi tu anashindwa vipi kuiona dunia ikiwa sahani au kopo? Kimsingi hizi za sahani ni porojo tu.habari ya dunia tufe ishakuwa proved enzi za merikebu mwanzo waliogopa kuwa watafika mwisho halafu wanguke lkn watu wakasafiri kuelekea upande wa magharibi hadi walipo rejea walipo toka.

Hakuna binadamu anayeweza kutoka nje ya dunia , binadamu akienda mbali sana anafika low earth orbit ambayo bado ni ndani ya anga la dunia , kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba anga la dunia au Firmament ni kitu physical na hiyo inathibitisha kazi ya Muumbaji ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom