Sahihi kabisa. Nakumbuka kuna wakati watu walikua wanapeleka watoto wao Kenya na Uganda Secondary kwasababu ya ugumu wamithani ya Tz. Tanzanian education is aimed at acquiring the best of the best. Na hio ni O level tu.
Huyo jamaa anajizima data tuu. Mbona Senegal ni kati ya timu bora africa ila haikuwahi kuchukua kikombe cha afcon kwa miaka mingi mpaka ilivo fika 2021 ndo wakachukua?
Nadhani umepost hio picha kwa sababu ya hizo nyumba zakizaman zilizo pembezoni! Ila hizo nyumba ni nyumba zilizoachwa kwakutunza utalii na historia ya jiji la Dar! Hawakushindwa kuvunja hizo nyumba ila ni nyumba ambazo zina miaka zaidi ya 100! Nadhan mamlaka waliomba zihifadhiwe! Kwaio mkiona...
Wa Kenya sio wabunifu kwa swala la muziki.sahivi naona wanamziki wao washanza kukopi bongo flava baada yakuona bongo flava inapasua border na kufika mbali Africa na dunia kwa ujumla
Ethiopia ninchi ambayo inashida sana,wanaijenga Addis kwanguvu sana lakini kwa akili tu hamuoni wananchi wakihama nchi yao wakienda nnchi nyingine ili wapate unafuu wamaisha.Wahamiaji hramu kila siku nashanga mmeikaznia siku hizii
Hizo slum kwa wakenya ni invisible,hata uwaeleze vp hawatoziona lazima watajifanya kama hawazioni.Alafu w
anajisifia kwamba maisha ya mombasa ni ghali wakati wananchi wanaishi bangladesh.
Uswazi ndio mnacho jua basi ni oneshe sehemu ambako kuko loow dar kama kibera nairobi ama slum nyingine huko ipo kama nanzese.Hivi hizo slums kwen kwenu ni invisible ama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.