Recent content by frami42

  1. frami42

    Engineer Soma hiyoooo, Pension yako yotee itaishia hapa

    Sio expansion joint hiyo[emoji848]
  2. frami42

    Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

    Hii kitu walivyojaribu kuipromote kama Fiestandio radha inapotea,maana..... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. frami42

    Lodge gani nzuri maeneo ya Busweru/National Mwanza

    Habari wandugu, Wiki ijayo natarajia kusafiri kwenda Mwanza. Nitakuwa na kazi maeneo ya Halmashauri ya Ilemela, hivyo nataka nijibane angalau nipate lodge nzuri kwa gharama isiyozidi 30,000 kwa siku maeneo ya Busweru au jirani yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. frami42

    Msaada: Gharama za chuo cha Ufundi(VETA) cha Jijini Mwanza

    Habari za asubuhi wandugu.naomba kupata taarifa juu ya gharama za VETA na entrance requirement maana nina kijana kamaliza form 4 nataka akapate maalifa zaidi huko chuoni Sent using Jamii Forums mobile app
  5. frami42

    Waziri Lugola: Kosa la ubovu wa gari ni moja faini yake ni Tsh 30,000 tu na si zaidi

    Asante kwa kutujulisha mkuu.ila elimu hiyo ingeanzia kwa trafic wenyewe ingekua bora zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. frami42

    Msaada: Tumepoteza kazi baada ya kudai haki zetu

    Nyie ndio wale wa mizani ya tanroads? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. frami42

    TRA, SUMATRA na Polisi hawa wanaosindikiza abiria stendi wachunguzeni

    Mkuu siku ukifika kwenye stendi zenye magari mengi na pia uwe na mabegi mazito/makubwa ndio utaona umuhimu wao(ilimradi asiwe mwizi tu)
  8. frami42

    Nimekombolewa

    Sawa wasalimie musoma wazee wa bunda
  9. frami42

    Fahamu kuhusu vibali vya ujenzi, umuhimu wake na namna ya kuvipata

    Ningependa kujua kama nimefuata hatua zote zinazostahili ila wakati wa kuanza kujenga nikataka kubadilisha/kuongeza idadi ya madilisha. Je, itabidi nianze upya kuomba kibali dhidi ya mabadiliko au imekaaje wakuu?
  10. frami42

    Kangi Lugola ampa IGP muda wa hadi saa 12 jioni ya leo kutoa maelezo alipo Mbwa wa Polisi Kikosi cha Bandari

    TAARIFA AMBAZO WANANCHI TUNAPASWA KUJUA HAZITOLEWI ZINAKUJA TAARIFA ZA SHITHOLE KILA SIKU
  11. frami42

    Mh Kangi Lugola:Madereva wote watapimwa kilevi kila penye mzani mpaka mwisho wa safari

    sijui mizani zetu zitaboreshwa maana nyingi ni single lane weigh measure(magari ya pande zote mbili yanapima uelekeo mmoja)sasa kila dereva akifika apime gari kisha ashuke akapime pombe,kabla ya kufanya maamuzi bora ingefanyika research walau hata kubaini mazuri na mabaya juu ya hilo zoezi. pia...
  12. frami42

    Julius Mtatiro: Mwanamke aliyejifungulia kwenye nyasi kwa sababu ya ukatili wa Polisi ameniumiza sana

    Waziri wa afya inabidi aanze na hili kwa kushirikiana na Mwigulu kuliko kwenda kutoa 25,000 kule Kigoma maana huu ni zaidi ya unyanyasaji.Tayari wameshamuwekea mama na mtoto historia mbaya kwenye maisha yao.Pia huduma za msingi wakati wa kujifungua amekosa.
  13. frami42

    Nimezijua nywila za mpenzi wangu za facebook

    Asante kwa ushauri ni bora nifanye hivyo tu mkuu.nafuta akaunti yake na mahusiano nayasitisha maana hadi sa izi sijamwambia bado madudu yake aliyofanya.
  14. frami42

    Nimezijua nywila za mpenzi wangu za facebook

    Habari za asubuhi ndugu wanajamvi wenzangu, Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye mada, Mimi ni kijana mwenye miaka 38 hivyo niliona umri unanitupa mkono japo nitafute wa kuishi nae kwa maana ya niwe baba naye awe mama wa familia yangu.Kutokana na shughuli zangu za uchimbaji mdogo...
Back
Top Bottom