frami42
Member
- May 17, 2018
- 27
- 24
Habari za asubuhi wandugu.naomba kupata taarifa juu ya gharama za VETA na entrance requirement maana nina kijana kamaliza form 4 nataka akapate maalifa zaidi huko chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app