Habari! Nachojua ni kwamba shabiki wa kweli wa mpira ni ngumu sana akaacha kuangalia timu anayoshabikia inapocheza live, ambacho sijui ni kama anaweza kumuacha mkewe ili akaangalie mpira.
Hapo kwenye kama "muislam mwenzangu" ungeweka maneno mengine yasiyofungamana na dini yoyote bila shaka ingekuwa vyema zaidi kwa wote - Waislam na Wasio waislam
Ni ngumu watu kuamini alifariki kwa mipango ya Mungu, historia ya mahusiano ya wakwe na binti inaonesha kunaweza kuwa na jambo nyuma ya pazia. Apumzike kwa amani dada yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.