Te te te hilo la kuchaji simu ndo la msingi siku hizi!japo tunakoelekea tutaanza kubeba chakula maana si kwa hotel wanazotupitisha...
Sent from my TV
Juzi tumepitishwa kuhotel cha ajabu pale singida...chakula hakikuwa kizuri na bei ilikuwa kubwa sana...ndizi mbili ndogo ndogo na vipande vya kuhesabika vya nyama elfu tano...hiyo ni kubwa mno. Halafu kuna vyoo sehemu zingine tunalipia...bora watuachie ule utaratibu wetu wa zamani wa kuchimba dawa vichakaniHotel wanazotupitisha kulikoni mkuu,,kwa nini ubebe chakula???
Pita njia hiyo ndio utaelewa anachosema huyo mdau.Hotel wanazotupitisha kulikoni mkuu,,kwa nini ubebe chakula???
Anapajua...ila hayajui mabasi yote yanayoelekea mwanza...na akienda kichwa kichwa pale atapigwa...pale ni kibiashara zaidi
HayaAnapajua...ila hayajui mabasi yote yanayoelekea mwanza...na akienda kichwa kichwa pale atapigwa...pale ni kibiashara zaidi
Sent from my TV
hapo ndio usiseme.Te te te hilo la kuchaji simu ndo la msingi siku hizi!japo tunakoelekea tutaanza kubeba chakula maana si kwa hotel wanazotupitisha...
Sent from my TV
Ha ha ha singida hiyo...wenye njaa kama mimi wanatukomesha kweli...siku nyingine ukiwa unaenda uniambie na mimi nisafiri nidoee mpunga wakohapo ndio usiseme.
wakati naenda nilipika wali wangu na nyama nikakausha safi nikabeba juice...hotelini pale nakati ya singida nilifanya kushuka tu kwenda toilet ila nilibeba kwanzia chai.
sasa kazi ikawa kurudi nililala mwanza asubui nikanunua chai tupu.....
bwana wewe tulivofika sijui ndio tabora sijui wapi pale kuna bwawa kama bahari kwenda kuuliza chips tuchps tuwili ef6
wali sijui ef7
sikula mpaka saa7 usiku nmeshuka ubungo nikaenda home njaa inaniuma hamu sina...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyehunge,satco,dar lux chukua moja wapo hapo!
Nilipanda satco kutoka mwaza to dom, nilifurahia safari
Nimepanda mabasi mengi njia hiyo ila sijaona kama Dar LuxDar Lux
Te te te hilo la kuchaji simu ndo la msingi siku hizi!japo tunakoelekea tutaanza kubeba chakula maana si kwa hotel wanazotupitisha...
Sent from my TV
Wafanyakazi wa kwenye mabasi huwa wanakula bure kwenye hizo hotel ndiyo maana hawajali kabisa maslahi ya abiria katika swala la bei za vyakula.hapo ndio usiseme.
wakati naenda nilipika wali wangu na nyama nikakausha safi nikabeba juice...hotelini pale nakati ya singida nilifanya kushuka tu kwenda toilet ila nilibeba kwanzia chai.
sasa kazi ikawa kurudi nililala mwanza asubui nikanunua chai tupu.....
bwana wewe tulivofika sijui ndio tabora sijui wapi pale kuna bwawa kama bahari kwenda kuuliza chips tuchps tuwili ef6
wali sijui ef7
sikula mpaka saa7 usiku nmeshuka ubungo nikaenda home njaa inaniuma hamu sina...
Sent using Jamii Forums mobile app
et eeh basi nmeelewaWafanyakazi wa kwenye mabasi huwa wanakula bure kwenye hizo hotel ndiyo maana hawajali kabisa maslahi ya abiria katika swala la bei za vyakula.