Haimaanishi mwaka 1992 kwamba kulikuwa na pesa nje nje, maisha ni yale yale tu. Maeneo mengi yalianza kuchangamka miaka ya 97 na kuendelea baada ya kupanuka huduma ya usafiri ndani ya miji, kabla ya hapo maeneo mengi yalikuwa yanafikika kwa shida sana.
Tatizo kubwa ni kwamba barabara kuu zote zinapita katikati ya miji ambapo watu wengi wanaishi. Na ishazoeleka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali hunufaika zaidi pembezoni mwa barabara kubwa kutokana na mahitaji ya wasafiri wa masafa marefu kama vile vyakula na vyoo ambavyo havikwepeki kipindi...
Habari za sikukuu!
Biashara ya miwa imeshika kasi sana maeneo ya Mbagala hasa toka kizuiani mpaka Mbagala rangi tatu, ukipita njia ya Mbagala maeneo hayo utakuta vijana wengi sana wanajipatia ridhiki yao kwa kufanya biashara hiyo ambayo kiukweli inafanya vizuri kutokana na muonekano wa maeneo...
Asilimia 90 ya watu wanaopenda na kujua mpira ama michezo mengine mf tennis nk wanabet. Mda mwengine uhitaj mzoef kila ikicheza simba, yanga au azam ujue kuna ushind au draw tayar unapata hela.
Kama unazifaham timu za ushindi mf. Ac milan, rb salzburg, lask linz, bodo, molde na timu za kufungwa tu basi kila wk utapiga hela. Ukiweka tamaa utachana tu mikeka.
Chukua tsh 50,000 anza kubet mpira wa miguu kila jumamosi na jumapili tu jitahidi ufikishe 2 odds kwa kila jmos na jumapili, ambapo kama ukiweza kupatia jumapili 4 na jumamos 4 za mwezi utavuna faida ya sh lak 4.
Odd ya 2 kwa jumamos na jpili hupatikana kirahis kuliko kwa siku za kati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.