Kwa wale walioko mikoa ya dodoma na singida, ninahitaji alizeti gunia 500 za alizeti. yeyote anayeuza aje inbox nitampa mawasilino tufanye mazungumzo. sio lazima uwe umeshavuna hata kama bado hujavuna njoo pia inbox upate soko pindi utakapovuna.
Vilevile nahitaji tani 20 za mahindi, kwa wale...
#Tanzia: Gari la RC wa Shinyanga limemgonga na kumuua mtu mmoja wilayani Kahama, ajali imetokea leo katika maeneo ya Nyahanga. Mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaenda kumpokea Mheshimiwa Rais John Magufuli aliyekuwa akitokea Chato.
Tazama video hapo chini... Fortune King
Source: Facebook/FortuneKing
Nianze kwa kuuliza Hivi ile kampuni mpya ambayo Serikali na Barrick wanagawana faida 50/50 ofisi zao ziko wapi? Na yale makinikia bado yako bandarini? Vipi zile bilioni 600 za good faith tumeshapewa? Ile ndege yetu imewasili? Nitawapeni majibu baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.