Gari la Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga limepata ajali wilayani Kahama baada ya kumgonga na kufariki palepale mkazi mmoja kutoka wilayani humo, ajali imetokea leo katika maeneo ya Nyahanga. Mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaenda kumpokea Mheshimiwa Rais John Magufuli aliyekuwa akitokea Chato.
Za sikuApumzike kwa amani marehemu
MNasubiri what next
Sheria gani kwa wanachama wale??Apumzike kwa amani. Na sheria ifuate mkondo wake