Recent content by fortuneless

  1. fortuneless

    Vodacom waondoa bundle za siku na wiki?

    Unamaanisha wamekua CHADEMA?
  2. fortuneless

    Wakuu anayeijua M/s Beny -Billy Construction Limited

    Usiropoke kwa Kuwa Hukwenda More than 100 Companies I applied many as I can hata hiyo Beny-Bill nimeshaisahau siyo rahisi kama hujui kaa kimyaa tuu mkuu.
  3. fortuneless

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Issue naona Ipo katika Logistical Challenge Huwezi Kuita watu wakati mkoa mingine bado so naona wanasubiri wenzao kambi ya JKT inajumuisha watu wa Mikoa yote kama siyo wa wilaya zote so naona wanasubiri wote wamalize! Usaili kwanza
  4. fortuneless

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Nawewe utaenda wapi na Formu yako wakati ulipigiwa simu hukupatikana kumbuka kulipoti siyo kama shule ya boarding unaenda peke yako! Unaenda na Gari ya jeshi ndo mnakabidhishwa hapo!
  5. fortuneless

    Natafuta nafasi ya ualimu wa masomo ya Hesabu na Uhasibu

    Mbona maticha wa Chuo hawajasomea Ualimu lakini wanafundisha.
  6. fortuneless

    Natafuta nafasi ya ualimu wa masomo ya Hesabu na Uhasibu

    Comment ya Kijinga kwani waalimu wa Chuo wamesoma wapi Ualimu? si wanawachukua waliofaulu tuu!
  7. fortuneless

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Kupigiwa simu huko ndo angalieni!! Unaweza Kusingiziwa kuwa ilikua haipatikani Ukatemwa.
  8. fortuneless

    Wakuu anayeijua M/s Beny -Billy Construction Limited

    Wakuu nimeitwa kwenye Interview hata siikumbuki Ni kazi zile zilizokua Offered Kwenye exhibition Kwente Uwanja wa Chuo Kikuuu cha Dar es Salaam. Nimeitwa lakini Siijui hii Kampuni kwa walioenda mnakumbuka kulikua na meza nyingi so sikumbuki ipi ni ipi? -Mwenye Kuijua aniambie wanajihusisha na...
  9. fortuneless

    Bilionea kijana Afrika Mohammed Dewji ajiandaa kutoa ajira laki moja

    Nawewe nilikuambia uyaseme humu?[emoji4] [emoji4] [emoji4]
  10. fortuneless

    Bilionea kijana Afrika Mohammed Dewji ajiandaa kutoa ajira laki moja

    Hili Bao baba yako angelimwaga nje tuu au mama yako angetoa hii mimba Kuliko kutuletea mzigo huu duniani. Hivi Mfanyakazi wa ndani huwa anasafiri kuelekea wapi? Analipa Umeme? Analipa Bili ya Maji? Analipa malipo ya Chumba/Nyumba? Ananunua Chakula? Usifananishe Kazi nyingine na Ma house...
  11. fortuneless

    Natafuta Kazi

    Fungua Duka!
  12. fortuneless

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Wakuu hivi Ukisikia Mkoa Fulani wameanza Ku ripoti na wewe Ukatumia Usafiri wako ile wameshushwa tuu kwenye basi na wewe unajichanganya nao Unasajiliwa Vipi Si Unaweza Ku win hii issue?
  13. fortuneless

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Pia Ni Muhimu Kupeana Taarifa JWTZ hawajachukua bado waliomaliza Mwaka jana Bado wapo kwenye Kambi za Malezi.
  14. fortuneless

    Nafasi za Kazi Peoples Bank Of Zanzibar (PBZ)

    Mlikua wengi? najua bara wengi hawakufika
  15. fortuneless

    Nafasi za Kazi Peoples Bank Of Zanzibar (PBZ)

    Daah! au wanamaanisha tarehe 28 June
Back
Top Bottom