Wakuu anayeijua M/s Beny -Billy Construction Limited

fortuneless

Member
Jun 8, 2016
95
49
Wakuu nimeitwa kwenye Interview hata siikumbuki Ni kazi zile zilizokua Offered Kwenye exhibition Kwente Uwanja wa Chuo Kikuuu cha Dar es Salaam. Nimeitwa lakini Siijui hii Kampuni kwa walioenda mnakumbuka kulikua na meza nyingi so sikumbuki ipi ni ipi?


-Mwenye Kuijua aniambie wanajihusisha na nini?

-Wanalipaje?

-Ukubwa wa Kampuni

-Inamilikiwa na nani?
 
Yaani umeshakosa kazi kabla hata interview
Mhitimu wa chuo unashindwa ku maintain diary?utafanyaje hiyo kazi ulioitiwa
Usiropoke kwa Kuwa Hukwenda More than 100 Companies I applied many as I can hata hiyo Beny-Bill nimeshaisahau siyo rahisi kama hujui kaa kimyaa tuu mkuu.
 
Mkuu siijui vizuri ila hii ni very new co.jaijaanza operation ipo barabara ya nyerere kituo sikumbuki ni co.ya kichina, mshahara hata cijui but inaweza kuwa 250,000
 
Usiropoke kwa Kuwa Hukwenda More than 100 Companies I applied many as I can hata hiyo Beny-Bill nimeshaisahau siyo rahisi kama hujui kaa kimyaa tuu mkuu.
Unaonekana unatuma kama vile unakata bahati nasibu
Nikufundishe,weka kumbukumbu kwa kila kazi unayoomba,haswa company profile na job description ili hata ukiitwa ghafla uweze kuperuzi
 
Mdogo wangu,

Chukua details hizi

Beny Billy Construction Limited,
P.O.BOx 105333,
Phone: +255 762 345 678/ 0744 556 666
Email: anshuai0314@gmail.com

Plot No. 46/3/16 Nyerere Road.

Note: Ushauri wa kutunza kumbukumbu uliopewa hapo juu ni wa maana sana.
Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa
 
Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa

Ndio wadogo zetu hao, sijui wanajifunzaje huko chuoni.
 
Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa
Acha Ujinga he asked anayeifahamu siyo anuani au kuelekezwa sehemu ilipo! Kwa sababu alishaelezwa wakati anaitwa wewe ndo huelewi
 
Ndio wadogo zetu hao, sijui wanajifunzaje huko chuoni.
[quote uid=37143 name="kabombe" post=16619385]Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa[/QUOTE]<br />Acha Ujinga he asked anayeifahamu siyo anuani au kuelekezwa sehemu ilipo! Kwa sababu alishaelezwa wakati anaitwa wewe ndo huelewi ilibidi umueleweshe kampuni inafanya nini inalipaje siyo kuleta ushuzi.
 
Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa
[quote uid=112987 name="jerrytz" post=16730229]Ndio wadogo zetu hao, sijui wanajifunzaje huko chuoni.[/QUOTE]<br />[quote uid=37143 name="kabombe" post=16619385]Hakuna kitu kaka,watu wanasomea kupasi mitihani tu,unaletewa degree holder umpe kazi tena alioisomea kuandika karipoti kafupi tatizo,huyu labda iwe kampuni ya kuchimba vyoo watamkubali hayupo serious kabisa[/QUOTE]&lt;br /&gt;Acha Ujinga he asked anayeifahamu siyo anuani au kuelekezwa sehemu ilipo! Kwa sababu alishaelezwa wakati anaitwa wewe ndo huelewi ilibidi umueleweshe kampuni inafanya nini inalipaje siyo kuleta ushuzi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom