Recent content by Forgotten

  1. Forgotten

    Ni utaratibu gani wa kufuata ili kuanzisha nchi?

    Haha! Wazo lako limenikumbusha filamu ya Rose Island (2020) ambayo imetokana na matukio ya kweli (based on true story). Engineer Giorgio Rosa alifanikiwa kujenga kisiwa chake, lakini serikali ya Italy ikaingilia kati japokuwa jamaa alicheza kete zake kwa ustadi mkubwa kwa kujenga kisiwa chake...
  2. Forgotten

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimepishana na gari la mshahara!!! 🤬
  3. Forgotten

    Bei sawa na bure... Laptop: HP EliteBook 740 G1

    HP EliteBook 740 G1 Intel Core i5-4210U 500 GB HDD 8 GB RAM / DDR3 64-bit OS Dual-Boot: Windows 11 & Linux Mint Battery: NO Price: TZS 250,000 Pia, ukihitaji inakuja pamoja na movies & tv series FHD@1080p zenye 400 GB+ pamoja na 30 GB+ za software.
  4. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    It's Carrick, you know! 🔴
  5. Forgotten

    Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread

    Ze Blauz ndo bingwa wa Dunia?! 😂
  6. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yeyote mwenye ile video ya shabiki wa Chelsea anapigwa kofi naomba atume.
  7. Forgotten

    Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread

    Albion hawajawahi kuniangusha... Kiparangoto kapata joto la The Seagulls!!! 🐦
  8. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mpira usiwe mateso sasa!
  9. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk. Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha. Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana...
  10. Forgotten

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Warusi wananilaza na viatu!
  11. Forgotten

    Ukipata free internet..utatumiaje?

    Matumizi yangu kwenye Unlimited Internet ni: Kufanya kazi zangu za freelance Ku-download courses & tutorials Entertainment: movies, sports... nina external storage zimejaa movies na tv shows ila muda wa kuziangalia sina. Weekend tu ndiyo natumia ku-stream mpira, naangalia mechi mbili tu basi...
  12. Forgotten

    Nimefanya kosa kubwa Sana, Siri yangu ya muda mrefu imefichuka

    KATAA NDOA!!! Umeona jinsi unavyoishi kama digidigi!
  13. Forgotten

    Nataka kuunda AI Wrapper itakayoelewa lugha za makabila yote Tanzania.

    Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza... nataka kuunda AI Wrapper itakayoelewa lugha za makabila zaidi ya 125 yanayopatikana Tanzania. Ukweli ni kwamba haitawezekana kwa makabila yote kutokana na aina ya lugha zenyewe, mfano HADZABE. Kwa wasiofahamu, AI Wrapper kwa lugha nyepesi, ni kuunda mfumo wa...
  14. Forgotten

    Tusiotumia mitandao ya kijamii tujuane!

    Nilitumia Snapchat kipindi bado ni messaging-first app, walipo-shift kuwa full-fledged camera platform nikafuta account. Kama ilivyokuwa tu kwa Musical.ly walipobadili jina kwenda TikTok nikafuta account.
Back
Top Bottom