Recent content by Forecast

  1. Forecast

    JamiiForums Tanzania Soko la ufuta likoje kwenye mkoa uliko?

    Umelimia wapi mkuu, na ulizingatia nn mpaka kupata mavuno mazur
  2. Forecast

    JamiiForums Tanzania Naisaka movie ya room na 1048

    Shuklan san japo sikuiomba mm
  3. Forecast

    JamiiForums Tanzania Vijana GenZ wa Kenya, hapa mavuka mpaka kwa maana zote mbili!

    Pumbavu kabisa wew, unafananisha gadafi alichowafanyia wananchi wake na hapa wananchi wanachofanyiwa na serial..
  4. Forecast

    JamiiForums Tanzania Kwa Unafiki wao, Aljazeera hawawezi kukuonyesha video hii

    Hyo haina tofaut na kumnenepesha mbuzi ukijua ikifika holiday tamla nyama
  5. Forecast

    JamiiForums Tanzania Martha Karua awasili Nchini Uganda kwa ajili ya Kesi ya Kizza Besigye, hakudhalilishwa, hakuzuiliwa wala hakukamatwa

    Hyo kumjua tu na kujua anachokifanya tayar ni umaarufu.. au wew unajua umaarufu ni nn zaidi
  6. Forecast

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna Hospitali au Taasisi nyingi kubwa za Kiislamu licha ya matajiri wengi kuwa Waislamu?

    Waislam wamewekeza katika imani. Wakristo wamewekeza katika Mali... Kila imani inakipaumbele chake
  7. Forecast

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Wapi hapo saii
  8. Forecast

    JamiiForums Tanzania Waya wa umeme ukitumbukia baharini, umeme unafika mpaka wapi?

    Naona mpka sas hakuna jibu lenye mashiko
  9. Forecast

    JamiiForums Tanzania Rais, hili la Lissu umeingia mtego, ilitakiwa uendelee kuwa mvumilivu

    Usijifanye km hujui lolote
  10. Forecast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

    Tafuta kitabu kinaitwa THE DEMON DICTIONARY hapo utawakuta makumi kwa mamia uchague unaemtaka, kisha uandae mazingila ya kuonana nae
  11. Forecast

    JamiiForums Tanzania Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

    Kwahyo mtoto afanye ujinga na bado awe confident cyo!
  12. Forecast

    JamiiForums Tanzania Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

    Mbona mimi nimewahi, kupigwa viboko 30 nikiwa form three na bila kosa la maana kabisa, wanao one ukatili ni wale Walio lelewa kama yai Ambao wanahitaji uangalizi wa wazazi mpaka wafikapo miaka 30 hivi. Hyo ni Hali ya kawaida ila kwa wale born town, shule magari ya njano hawawezi jua na hao ndio...
  13. Forecast

    JamiiForums Tanzania Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Niko na Account tatu hapo za P3 nimeshapata nusu ya hela niloweka bado nusu namm niongoke na majeraha ya kupoteza fedha in case mtambo ukizimwa
  14. Forecast

    JamiiForums Tanzania Waha , mnaferi wapi ?

    Niwachafu BADAE wanafua Kila siku, Mtoa mada bainisha hapa sijakuelewa. Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
  15. Forecast

    JamiiForums Tanzania Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

    Hizo spray gun kwakweli si mshauri mtu kununua ni bola akod mashine lakini sio hizo, Moja hazitoi rangi inavyo takiwa zina rangi inaweza toka nyingi Sana au kidog san kwa wakat mmoja, pili rangi inatoka kwa matone mengi, Kwa mfumo huo inatumia rangi nyingi sana, kama umezoea kutumia lita Moja...
Back
Top Bottom