Naomba kufahamu; Kichwa cha habari kinasema "Rushwa yawafukuzisha kazi Askari saba", lakini ndani ya habari nimesoma kwamba, askari hao wamesimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani.
Sasa, polisi akisimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani ndiyo tayari anakuwa amefukuzwa kazi? Naomba kufahamu...
Pamoja na yote ya kurudisha kikokotoo cha zamani.
Binafsi naomba nisaidiwe kufahamu kuhusu hili;
Mswada ulipelekwa bungeni na waziri mwenye dhamana, wabunge wakaujadili, mswada ukapitishwa, ukapelekwa kwa Rais.
Sasa, je, Rais alikuwa tayari ameishausaini?
Kama alikuwa tayari au bado, je...
Ukiona tahadhari ujue kuna kitu wanakiandaa. Wamagharibi siyo kabisa.
Huwa najiuliza, hivi ilikuwaje China wakapenya katika hujuma zilizokithiri za Wamagharibi.
Hao, jamaa ni hatari. Kwanza hautakiwi kuonesha hadharani hauwataki, lazima watakuhujumu tu.
Mashariki ya kati wanaelewa vizuri...
Du! Unamfahamu Mwakibinga! Alikuwa classmate wangu pale UDOM kozi moja.
Jamaa alikuwa ni mwanaharakati wa ukweli, mwenye msimamo imara.
Sidhan kama jamaa alipoteza katika maisha maana alishinda kesi dhidi ya UDOM na alitakiwa alipwe fidia. Sijui kama alilipwa au la!
Niliskia jamaa ni diwani...
Naunga hoja ya kwamba tunategemeana.
Lakini hapo mwisho umemaliza vibaya kwa sababu umeanza kujihami kwa kuuliza maswali na kujijibu. Nahisi labda ni dhana uliyonayo kwamba, ukiweka uzi humu lazima utapata coments hasi, kumbe siyo lazima.
"...hajui english.." unamanisha unataka anayejua English. Hapa Tanzania Kiswahili ndiyo lugha mama kwa Watanzania wengi, hivyo hiyo hoja haina mashiko.
Kosa ulilolifanya ni kuchukua simu yake na kuiweka mezani karibu yako.
Kosa zaidi ni pale ulipoiacha simu on. Ulitakiwa baada ya kuichukua uizime na maongezi yaendelee.
Kweny jina langu kuna mistari:
"Nikikosa hela washkaji wanatoweka"
"Nikirekebisha pumbafu wanasogea"
Sasa hivi Prof Jay anatamba na ngoma yake "Yatapita" aliyomshirikisha Harmonize.
Jamaa huwa anaumiza akili sana katika kuandika mambo yanayoakisi jamii.
Yaani, kama ni mchezaji wa kandanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.