Kuna jamaa mmoja ana YouTube chanel yake inaitwa HUKU YUESI jmaa anakaa states…anasema ndoa ni scum tu na wanaume wengi wamepata shida sana baada ya kuoa maana wake wanakua na kiburi maana wanajua ukizingua mshiko ni pasu kwa pasu na child support juu..50% ndoa US zinavunjia sababu ya sheria...
Kujiajiri ni bora zaidi kama utakua na biashara za maana…la sivyo utapambana na unakuja kupata hela ya maana umezeeka..!kuajiriwa inategemea na position ulionayo..mfano mtu kama mkuu wa majeshi hv au gavana BOT
Ukiwaambia wafungue frem kariakoo hawakuelewi unajua..
Bottom line matajiri wakubwa...
Hao wanaojifanya kupayuka kuhusu PHD za kupewa(ambapo naona ni wivu wa kijinga tu)ndo wakwanza kwenda kwa sangoma na wanawaita hao ma sangoma ma fundi…waache uchawi hzo PHD za kununuliwa hazifanyi mtu aonekane wa maana wkt kichwani hana mawe..kuna wenye hzo Phd za darasani lakini wanaonekana...
Kuna demu moja la kitaa lilikua linasema kwa aliyoyapitia hakubali kuachwa akiona dalili za kutaka kuachwa anawahi kukumwaga ili isimuume..tukamwambia hujakutana na mwamba…kwakua alikua pisi akajaa kwa muhuni flan mshkaj ana mpunga halafu ana haiba..akakutana na mapenzi heavy kutoka kwa...
Daah shkamoo no 3 nilepewa mbususu ila kwa mbindeee…ila sijui whats wrong kwa dada zetu maana baada ya kula day one ndo nikaanza kutafutwa sasa niwe napeleka moto..dem anaweza kuwa na misimamo dhabiti ila kumegwa inategemea na mambo mengi sana mfano kujali,kudhamini,kusaidia nk sasa kama home...
Kwel..kuna jamaa yangu mama yake alikua anaumwa akawa anatuma hela ila ikafika muda mam yake akamwambia uje..jamaa alipanda ndege fasta..alipofika akamuwekea mkono akasema wenzako hawajaja ila kwakua wewe umekuja nakufungulia milango… ndugu zako naifunga…mama akafariki..usiulize nn...
Jamaa naskia nayeye kajilipua kwa risasi…kakutwa kafa huko ziwani..kuna zachini chini kuwa kuna iman za kishirikina kwenye hlo tukio…TAMAA MBELE MAUTI NYUMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.