Habari za majukumu wakuu.
Kama uliomba hio kitu hapo juu kaa mkao wa kuitwa. MIE nimeitwa leo via SMS.
Mkuu mimi pia nilkua safarini kesho ndio natarajia kufika huko. Ila kwa uzoefu tu hua unatakiwa kua na documents zote muhimu kama certified copies za vyeti vyako, barua toka bodi...
Asante mkuu. MIE nimeitea leo muda si mrefu hivo kama hujaitwa kua makini na simu yako. Nimetumiwa sms kwenda kufanya online application na maelekezo mengine.
Mimi pia nina uzoefu kidogo. Kuhusu kupitisha kwa mwahiri kama tangazo halikusema hivo basi haina ulazima sana ila ukiweza ni nzuri zaidi. Niliomba mwaka huo tangazo halikusema tupitishe kwa mwajiri na nilipata ila kuna mwaka mmoja nadhan mwaka jana niliona walisema upitishe kwa mwajiri...
Tangazo kweli nimeambiwa limeshatoka lipo kwenye mbao za matangazo wizara ya elimu. Website yao ipo down hivo mwenye kuweza kufika pale wizarani tafadhali atusaidie alibandke hapa.
Hili mbona lipo wazi. Huhitaji kujiuliza mara kadhaa kuliamini. Kwan kuna shaka yoyote kuhusu AIDS kuwa nayo ni bio weapon ya US? . Dunia inajua ila uoga ndio shida.
Kaka sidhani kama ipo hivo maana kuna wengi walosoma engineering wamepangwa asubuhi whom I know. Sidhani kama wanaweza fanya style hio kila watu wapewe eneo lao la specialization coz kuna watu wa cadre mbali mbali.
Pole mkuu. Mimi pia nilipatwa na same issue as you na nilichofanya nili copy page ya application form inayoonyesha uhitaji wa passport ili niweze kufanya application yangu nika attach na documents nyingine. Then nikawapelekea uhamiaji, ilikua dsm so nilipata passport ndani ya week moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.