Recent content by flying surgeon

  1. F

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Taa ya kijani hatar Sanaa
  2. F

    Je, Amina atakubali kutoa penzi..?

    Kama unamaanisha kwa hisia just mwambie ukweli tu kuwa japokua mlikua mnachukuliana kama ndugu wewe siku za karibuni umekuwa na hisia za kuwa nae kimapenzi na unamuhitaji kama mke Sio mpenzi coz mmejuana kitambo mambo ya mpenzi hutaki tena ,Yale ya zaman kukusetia mibususu ilikua ujana tu coz...
  3. F

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Hapo kataaa Hadi mwisho....sema kumwangushia zigo SIo poa,,huo muda uliokuwa unafikiria kama nusu saa ungetafuta mwamba yoyote uwe umejifanya ulimuazima gari umpange afu ungechukua hyo chupri umuulize wife kwanini anaanika chup kwenye gar akisema SIo yake unajifanya unawaza na kujiongelesha kuwa...
  4. F

    Wazoefu naombeni mwongozo

    Ahhh mie naona afadhali uwachane ukweli tu kuwa hujakaa poa but unania njema na Binti Yao kwahyo wasubiri ujipange kilife kwanza then utakuja rasmi hizo mbelile mbelile naona hazina ishu
  5. F

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wacha na Mimi nishee hii wakati Niko likizo Moja Niko fomu 3 nilikua na dada yangu alikua fomu six kwahyo Mimi nilikua likizo fupi ya Sept yeye Yuko likizo ndefu ya September Sasa alikuja na rafiki yake akawa anakaaa nae nyumban alikua anasubiri atumiwe nauli kwao ni Kilimanjaro.asa Kuna siku...
  6. F

    Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

    Kama ndo aliemuoa jipe moyo may be hakuwa wako Yani hukupAngiwa kuwa nae na jinsi ulivyokuwa na wivu nae it's means ulimpenda wewe Cha kujipa moyo ni kuwa ulimkula before huyo jamaa mambo mengine achana nayo mtaan mibususu mingi piga kazi komaa na tozoo
  7. F

    Naomba Ushauri: Nimejikuta nimeoa mke aliyepitiwa na wengi

    Mzee kumi ni wachache mnoo afu mbususu kwani waliondoka nao? Wewe angalia life la Sasa ya zaman SIo ya muhimu afu kingine Mzee ulikua sloww sana na wewe yan mpaka unaoa uko imepita mibususu mitano tu duh ungekua una kama mia hivi Wala usingekuja kutuuliza
  8. F

    Naomba kujua ulaji wa mafuta wa Toyota Prado

    Mie hyo engine nayo kwenye surf hillux mara nyingi ni 8_9km per liter so navimbaga mjini bila shida
  9. F

    Msaada UN organization (IFAD)

    Baba hao ni wezi kaa mbali
  10. F

    Wale tunaotafuta ajira na kutoa ajira tukutane hapa

    Kuna kazi ya pharmacy liwale huko Kuna jamaa wanaitwa madaktar wasio na mipaka cheki nao chap
  11. F

    Wajuba msaada kwenye bajeti

    Hapo kwenye mademu nipeleke sehemu Pana extend bajeti ya mafuta laxima ifike 400k
  12. F

    Sijutii kuoa Mdigo

    Dah usinikumbushe Kuna miaka nilikuwa nacho pale mjini tanga tulikua tukionana pale lodge karibia na gonga gonga tanga ahh bana lile uno dahh mungu ibariki jamii ya kidigo mnara wa uno Moja la kidigo ujengwe hata pale majani mapana
Back
Top Bottom