Kama unamaanisha kwa hisia just mwambie ukweli tu kuwa japokua mlikua mnachukuliana kama ndugu wewe siku za karibuni umekuwa na hisia za kuwa nae kimapenzi na unamuhitaji kama mke Sio mpenzi coz mmejuana kitambo mambo ya mpenzi hutaki tena ,Yale ya zaman kukusetia mibususu ilikua ujana tu coz...
Hapo kataaa Hadi mwisho....sema kumwangushia zigo SIo poa,,huo muda uliokuwa unafikiria kama nusu saa ungetafuta mwamba yoyote uwe umejifanya ulimuazima gari umpange afu ungechukua hyo chupri umuulize wife kwanini anaanika chup kwenye gar akisema SIo yake unajifanya unawaza na kujiongelesha kuwa...
Ahhh mie naona afadhali uwachane ukweli tu kuwa hujakaa poa but unania njema na Binti Yao kwahyo wasubiri ujipange kilife kwanza then utakuja rasmi hizo mbelile mbelile naona hazina ishu
Wacha na Mimi nishee hii wakati Niko likizo Moja Niko fomu 3 nilikua na dada yangu alikua fomu six kwahyo Mimi nilikua likizo fupi ya Sept yeye Yuko likizo ndefu ya September Sasa alikuja na rafiki yake akawa anakaaa nae nyumban alikua anasubiri atumiwe nauli kwao ni Kilimanjaro.asa Kuna siku...
Kama ndo aliemuoa jipe moyo may be hakuwa wako Yani hukupAngiwa kuwa nae na jinsi ulivyokuwa na wivu nae it's means ulimpenda wewe Cha kujipa moyo ni kuwa ulimkula before huyo jamaa mambo mengine achana nayo mtaan mibususu mingi piga kazi komaa na tozoo
Mzee kumi ni wachache mnoo afu mbususu kwani waliondoka nao? Wewe angalia life la Sasa ya zaman SIo ya muhimu afu kingine Mzee ulikua sloww sana na wewe yan mpaka unaoa uko imepita mibususu mitano tu duh ungekua una kama mia hivi Wala usingekuja kutuuliza
Dah usinikumbushe Kuna miaka nilikuwa nacho pale mjini tanga tulikua tukionana pale lodge karibia na gonga gonga tanga ahh bana lile uno dahh mungu ibariki jamii ya kidigo mnara wa uno Moja la kidigo ujengwe hata pale majani mapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.