Ugonjwa haupo mama(mwela malercela) alidanganya tu hajui lolote ingawa ni daktari bingwa wa watu lakini waziri wetu Ummy Mwalimu ametoa taarifa ya ukweli kabisa ugonjwa haupo kwasababu yeye ni mwanasheria anafahamu zaidi kuliko wataaramu wa afya
Hawa ni wezi kama walivyo wezi wengine MTU ukienda kulaza gari hapa Mjini unalipa elfu kumi au elfu mbili!!!!
Wacha mnyanyaswe kipindi cha uchaguzi mlikuwa mnabandika mapicha yenu ya kijinga kwenye magari na majimbo yenu sijui eti jembe litasaidia wanyonge
Huwezi ukalipa mshahara kwa sababu tu wote wa degree au diploma au Cheti
degree ya miaka 03 mfano sociology , IPO degree ya miaka 04 Mfano Law ya SAUT, IPO degree ya miaka 05 MF medicine
Diploma IPO ya miaka 02 mfno uhasibu,
Ipo diploma ya miaka 03 mf n pharmacy nk
Kuwalipa watu wote sawa...
9, December 1961,wakati tunapata Uhuru siku ya jumamosi wezetu Morroco wanasherekea miaka minne ya kuwa huru
2, march 1956(independent Day)
Pamoja na kuwa na Tofauti ndogo ya UMRI Leo tumempigia magoti mfalme wa Morocco Mohammed VI na kwa enyenyekevu mkubwa huku tukiongea kwa URUMA MNO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.